Kila siku napokea sms toka Aitel yenye ujumbe huu:
"Kupima kama unaendana na mpenzi wako kwa kutumia love meter, tuma love nafasi jina lako nafasi, jina la mpenzi wako kwenda 15334 kwa shs 250= tu"
USHAURI KWENU AIR TEL:
Sizitaki hizi sms zenu kwenye simu yangu, laa sivyo nitawashitaki!!
Kila siku napokea sms toka Aitel yenye ujumbe huu:
"Kupima kama unaendana na mpenzi wako kwa kutumia love meter, tuma love nafasi jina lako nafasi, jina la mpenzi wako kwenda 15334 kwa shs 250= tu"
USHAURI KWENU AIR TEL:
mi nakushangaa unalalamika wakati hili nis oko huria amua kama mimi vunja lain yao tupa kule tafuta mtandao mwingine
yaani mimi wameniudhi sana mpaka nimeamua kukatafuna haka kaline kama inavyoonekana hapa kwenye picha nikakatupilia mbali ndio wakome