Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Nasikia ni mtoto wa Dioniz Malinzi
aah michuzi aliweka picha yeke lakini soon akaiondoa.....she ain't no beautiful kivile......siku hizi bana kuna ka msemo 'hater' bwa ha ha ha nitaitwa hater....Hata mie namkubali sana tu ila sauti yake na mvuto vikipishana, chaa!
Mkuu
Sijaelewa anachoitaji nini hasa.
Kama anaitaji umaarufu na kufahamika si kuna magezeti ya udaku.
Alafu umaarufu au celebrity usiombe, utapewa mwenyewe kulingana na kazi yako unayoifanya, hivi wabongo hivi mkoje.
Hawa akina michael jack,bruce lee na wengine wengine mlishaona wanajiandaka kwamba wanaomba support ya kufahamika.
Kufahamika na celebrity yako itatokana na mchango kwenye jamaii mambo mazuri unayoyafanya.
Fanya kazi yako,watu watakutangaza kwamba wewe ni celebrity bwana,au kama unataka haraka basi magazeti yapo nunua pages, weka picha hadi watoto wakusome bwana,utakuwa celebrity haraka.
unahitaji source ilipotoka?Mbona mnamchora huyo mwanamke na hiyo pozi, alitaka mwenyewe picha hii iwe kwenye public? Ni kweli aliridhia hii picha na hilo pozi? Anahitaji wataalam wa picha wamshauri jinsi ya kupata pozi muafaka litakalokwenda sambamba na kichwa, mabega, kifua na tumbo, lakini si hii picha.
Baada ya Wengi Wenu Kuulizia Picha Yangu na Baada Ya Michuzi Mkubwa Kunitoa bila ya Idhini yangu..I decided kupiga Picha through M y IPHONE na kuiweka Hapa..hamna photo shop wala editing..
its how i look-Loveness Love Diva
..Ordinary Ma'aam..Smilling As Usual
Tena atulie hasa maana atasumbuliwa hadi atajua hiki nn....wamelo na walio serious ukimuangalia ni mtoto mdogo hata 25 bado.....sasaa hadi afike 26 hivi apate akili utu uzima mamam weee inaweza kuwa balaa.....ukimsikiliza anasema ana misimamo yake....hawezi babaika sijui labda kwa sbb ni familia bora anaweza asitishwe na vijicenti vya mabazazi....mtoto wa Dioniz Malinzi
Atulie basi awe na nyumba yake sio kam kina nanihiiii
Mimi nina msupport huyu mtoto mwenye ndoto ya kuwa supa staa, ila nadhani Muongozo ndo mbovu, hana washauri.
Mfano sauti yake ya kimapenzi asingeitumia kwenye kipindi cha jahazi zha Gadner, sio pake kwasababu sauti ile ni FAKE, ni ya radioni.
Pili huyu hata mwaka hana redioni sasa sijui kama huo u diva (hata kama alimaanisha mwanamke aliyebobea kwenye fani yake, inagwa pia sio maana yake) hasingejipa hilo jina.
Kwa ufupi ni nyota atakaye kuja juu ila akipata ushauri murua.
Ni mtoto wa Jamal Malinzi, kakulia upande wa mama. Kama ukielewa nina maanisha nini.....!!