Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Twita ndio kwanza kumekucha, Fetty anasema kuna mtu amelegea mshipa kichwani (think hapa anamaanisha diva).....masifa kibao kwa prezzo
Mrembo by Nature una maanisha dj fetty? kama ni hawa si wana toka nyumba moja hawa i mean clouds? ila huyu diva lazima ana tatizo kabisa bila shaka tutakuja kusikia yuko na sukari ya warembo soon!
Huyo huyo fetty dj....naona kama ameboreka na huyu manzi anavyojianika na kuanika watu huko twita......mshipa wa aibu na nidhamu umemtoka huyu demu. Diamond soon atakula mzigo tupo na tutaona
hakika basi kafanya vyema sana kumwambia yani huyu binti nahisi kachanganyikiwa kabisa sasa sijui management ya hiyo radio ina muonaje huyu mtangazaji wao maana mtu kama huyu ana hitaji ushauri kabisa na anajidharirisha kabisa yeye na wazazi wake! kwa swala la diomond najua huyu diva lazima anamvizia na soon ata mnasa!
Hahahaha sukari atapewa kipindi then atalegezewa sauti weeeeeee wataongea pillow talk mwisho wa siku basiiii mengine tutamuachia baba na mama
hahahahahahahahahah
nahisi diva kaanza kuchanganyikiwa kabisa! kweli mengine tumuachie baba na mama
jamaa alishachovyaa siku nyingi
ila zitto nae mkaree ana list ya wadada ile mbaya
Huyo demu aliamua kujiunga na chadema akijua atakua first lady 2015.
Diva looks cheap..!
Prezzo apige wote chini.
Sijui nyuso zao watazificha wapi???
Na mbona Prezzo hajasema kitu?
........Na macho!
Ni jambo jema kushukuru kwa kila jambo.
Nasema aksante kwa udaku.
Aise hili jambo lina ukweli?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hakuna Subscription fee ya kutumia Akili, ni bure kabisaaaaa kwa nini tuogope kutumia akili!