Naelekeza mahojiano yaliyotangulia kuhusu "gharama za ujenzi Tanzania" na kuanzisha thread hii ambayo nia yake ni kuleta technologies mbali mbali zinazotumika ulimwenguni katika ujenzi ulio nafuu (Kumbuka nafuu is relative in this case).
As far as I am aware from their site, only Sout Africa and Djibouti have facilities for this (SA was a trial setup, hence not sure if they rolled it out as yet).