The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 1,053
- 1,232
Hii Russel and Hobbs utalipa laki na 40 hadi hapo nyegezi Boss...usafiri bure ndani ya Dar Es Salaam...hivyo nitakupelekea hadi stendi kuu Mbezi kisha nitaipakia kwenye bus hadi Nyegezi kwa address yako kwa gharama hiyo ya laki na arobaini.Niletee hiyo ya kwanza hapa Nyegezi shilingi ngapi lakini ?
Nicheki kwenye namba yangu Boss tuongee.Niletee hiyo ya kwanza hapa Nyegezi shilingi ngapi lakini ?
Yes Chief,Used from UK and USA.Used?
Kariibu Boss.Ahsante kwa taarifa...