Lowasa,Rostam,Karamagi na Chebge ni Makimbakwiri

Lowasa,Rostam,Karamagi na Chebge ni Makimbakwiri

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
"Kimbakwiri" ni neno la Kiswahili lenye maana ya mtu anayetumia nafasi,cheo au elimu yake kupata mali kwa njia isiyo halali.Mfano wewe ni mwanasheria wa serekali unasaini mkataba kwa niaba ya serekali lakini ndani ya mkataba unaweka maslahi yako binafsi na nk.

Fisadi ni msamiati unaotumiwa sana kuwaelezea watu wanaotumia madaraka kujipatia utajiri isivyo halali.Ningeomba tuache kutumia msamiati "fisadi' badala yake tutumie neno "kimbakwiri'

Mfano tunaweza kusema E Chenge ni kimbakwiri au Rostam Aziz na E Lowasa ni makimbakwiri.

Naomba kuwasilisha
 
unaweza sema ni majimbakwiri kutokana na kubobea kwenye huo ukimbwakwiri
 
Kwanini tusibadilishe "msamiatia" fisadi liwe "neno" fisada na kuchukua nafasi na maana ya neno "kimbakwira".....



"Kimbakwiri" ni neno la Kiswahili lenye maana ya mtu anayetumia nafasi,cheo au elimu yake kupata mali kwa njia isiyo halali.Mfano wewe ni mwanasheria wa serekali unasaini mkataba kwa niaba ya serekali lakini ndani ya mkataba unaweka maslahi yako binafsi na nk.

Fisadi ni msamiati unaotumiwa sana kuwaelezea watu wanaotumia madaraka kujipatia utajiri isivyo halali.Ningeomba tuache kutumia msamiati "fisadi' badala yake tutumie neno "kimbakwiri'

Mfano tunaweza kusema E Chenge ni kimbakwiri au Rostam Aziz na E Lowasa ni makimbakwiri.

Naomba kuwasilisha
 
Kwanini tusibadilishe "msamiatia" fisadi liwe "neno" fisada na kuchukua nafasi na maana ya neno "kimbakwira".....

Kimbakwiri limekaa mkao mzuri hakuna haja ya kutumia fisadi au fisada.
 
Back
Top Bottom