Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna taarifa ya kuwa Edward Lowassa ameanza mikakati ya kuusaka Uspika wa Bunge la 10 la Jamhuri ya muungani wa Tanzania.
Anafaa na anastahili.
Ana uzoefu wa kutosha sasa bungeni na serikalini.
Bado taifa letu linahitaji mchango wake.
Kuna taarifa ya kuwa Edward Lowassa ameanza mikakati ya kuusaka Uspika wa Bunge la 10 la Jamhuri ya muungani wa Tanzania.
Namunga mkono kuliko Samwel Sitta mnafiki
Anafaa na anastahili.
Ana uzoefu wa kutosha sasa bungeni na serikalini.
Bado taifa letu linahitaji mchango wake.
Labda uspika wa bunge la wamasai pori wenzake, pun very much intended :caked: