mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Ni wiki mbili sasa tangu Mbunge wa Monduli atawanye ubwabwa na Nyama lundo kwa wale anaowasema kuwa ni Rafiki wake, au Mashabiki wake, wakiwemo wenye viti wa mikoa na wilaya, hata baadhi ya mawaziri, na akaamua kutoa yaliyo moyoni, kwa kujinadi kuwa ni Rais au Mngombea Urais mtarajiwa, bila kupitishwa na vikao vyovyote vya chama. Wageni hawa ambo walikuwa wakila na kunywa mvinyo mkali pamoja na nyama choma, walifurahi sana kualikwa katika hafla hiyo ya mwaka mpya.
Pamoja na sherehe hii kali ambayo haijawahi kutokea katika mkoa huo, ya kwamba mtu binafsi anaweza kuita watu wengi wakashiriki kusherekea mwaka mpya huku wakiacha familia zao kibindoni. Si miugiza kwamba Je, walioenda huko ni watetezi wakweli wa wanyonge au ni washabiki wachumia tumbo.
Nilikuwa nikijiuliza ni vipi itakuwaje huyu mtuhumiwa aliyeshindikana kushitakiwa kwa kuhusika na dili la Richmond ambalo mpaka sasa bado ni mzigo wa misumari kwani kila kukicha TANESCO hutoongezea gharama kwa kuwa waliingizwa mkenge na wataka nchi, leo hii umeme imekuwa sitarehe ya kwanza. Huyu huyu alikataliwa kwao akiwa anamnadi Mbunge ambaye anamuoa mwanae (Ndg Sioii) mbali na ccm kuamia yote Arusha lakini waliaangukia pua, wapi ushwawishi wake, maana alisema anakuja kumaliza kila kitu na kiti kitarudi mikononi mwa ccm, hivi mtu anakataliwa kwao, bado watanzania wapo wanafurahia ubwabwa na mamilioni anayepewa na marafiki wake, ambayo hayalipiwi kodi wala hayajulikani yanatoka kwa nani.
Tunataka kupeleka Mtu ikulu Mahali pa Takatifu au Mahali patakwa vitu.
Soma
Pamoja na sherehe hii kali ambayo haijawahi kutokea katika mkoa huo, ya kwamba mtu binafsi anaweza kuita watu wengi wakashiriki kusherekea mwaka mpya huku wakiacha familia zao kibindoni. Si miugiza kwamba Je, walioenda huko ni watetezi wakweli wa wanyonge au ni washabiki wachumia tumbo.
Nilikuwa nikijiuliza ni vipi itakuwaje huyu mtuhumiwa aliyeshindikana kushitakiwa kwa kuhusika na dili la Richmond ambalo mpaka sasa bado ni mzigo wa misumari kwani kila kukicha TANESCO hutoongezea gharama kwa kuwa waliingizwa mkenge na wataka nchi, leo hii umeme imekuwa sitarehe ya kwanza. Huyu huyu alikataliwa kwao akiwa anamnadi Mbunge ambaye anamuoa mwanae (Ndg Sioii) mbali na ccm kuamia yote Arusha lakini waliaangukia pua, wapi ushwawishi wake, maana alisema anakuja kumaliza kila kitu na kiti kitarudi mikononi mwa ccm, hivi mtu anakataliwa kwao, bado watanzania wapo wanafurahia ubwabwa na mamilioni anayepewa na marafiki wake, ambayo hayalipiwi kodi wala hayajulikani yanatoka kwa nani.
Tunataka kupeleka Mtu ikulu Mahali pa Takatifu au Mahali patakwa vitu.
Soma