Unafiki wa hali ya juu...Odinga ni rafiki yake kibiashara na Kenyata ni rafiki wa kisiasa
Mkuu hata Uhuru na Odinga ni marafikiUnafiki wa hali ya juu...
Hiyo nayo ni mbinu, wangemzuia basi.Uliona gap aliyoshinda??? Tena kama sio kuzima ile mitambo odinga alikuwa anaenda kubeba ndooo sema wlaivyozima vifaa vya electronic ndipo walipopata mwanya wa kubadilisha matokeo otherwise oding anaungwa mkono na makabila makubwa sana kenya na hta ukiangalia chama chake cha ODM ndio chama kikubwa zaidi kuliko vyote kenya ssa iweje aanguke tena na mtu asiye na uzoefu wa siasa kma kenyatta??
Yes. Kenya ni ukabila. Lowassa ni mkabila. Nyani anamfundisha tumbuli ujanja wa kuungana.Lowassa nae ni mshauri wa watu timamu[emoji855][emoji855][emoji855]
utakuwa ni unafiki piaMkuu hata Uhuru na Odinga ni marafiki
Sio kama wale ambao eti mkiwa tofauti kisiasa hutaki wenzako wamuone mgonjwa au aliye jela kwa vile ana msimamo tofauti wa kisiasa.Mkuu hata Uhuru na Odinga ni marafiki
Wakenya hawashindwi basi tu odinga anataka amani lasihivyo akiamua kukinukisha wakikuyu wote watahama nchi maana luo + luhya + kamba = mwisho wa kikuyu dynastyHiyo nayo ni mbinu, wangemzuia basi.
Ana urafiki na Mzee JPM, Siunakumbuka alikwenda kumutembelea chato au umesahau?Hahahaaaa sijajua Odinga anashauriwa na nani, labda Mu7
UKAWA na NASA wapi na wapi? Muungano wa NASA ni makabila yaliyoshindwa ubunge uchaguzi uliopita na wanasubiri kushinda ila UKAWA walishinda wakadhulumiwa.Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Lowassa amempa angalizo rafiki yake Kenyata juu ya nguvu wanayokuwa nayo wapinzani pindi wanapoungana, akitolea mfano wa UKAWA.Source gazeti la Mwananchi
Kakojoe ulale....mtoto yake pipiLowassa nae ni mshauri wa watu timamu[emoji855][emoji855][emoji855]
mkuu sipingani na wewe ila naomba niku chalange kidogo.Kumwangusha uhuru sio rahisi, siasa za kenya ni tribal so let's look at the tribal arithmetic.
Uhuru anatoka jamii ya kikuyu kabila ambalo ni kubwa kuliko zote na hii kabila inajulikana kwa kupiga kura as a block .
Makamu wa rais ni William ruto kabila ya kalenjin huyu jamaa is just a heart beat from the presidency ingawa kuna isaac ruto toka kabila hilo hilo ambaye ameasi na kujiunga na raila hataweza sababu anagombea u gavana wa bomet so pamoja na kuwa yupo na raila as equal principle hawezi kwenda zaidi ya kuwa gavana.
So the question is, wa kalenjin watampigia kura William ruto au isaac ruto? jibu langu William ambaye yupo karibu na urais atavuta kura za kabila lake.
Kalonzo musyoka a.k.a water melon huwa hana msimamo his foot soldiers wameasi even his most royal mps say he was shortchanged by raila, na wambunge zaidi ya 6 kutoka his own backyard wapo na uhuru. So kambas will not vote as a bloc for kalonzo.
Musalia na wetangula kwao kuna voter apathy, wa luhya walitegemea musalia awe flagbearer so wanaweza react.
Lastly kenyatta a nategemea development record, na standard gauge railway inaanza 1st June only 2months to the elections. Shida kubwa kwa uhuru ni corruption kwenye serikali yake but how do they know raila hatapata hiyo shida coz sio uhuru au raila it's their inner people who are corrupt.
Raila kalonzo ni team ya 2013 so voters would have wished to see new face on the ballot, that's why I think uhuru atarudi tena pia kwa sababu of him being social and down to earth president. But it's up to the Kenyans to decide.
mkuu sipingani na wewe ila naomba niku chalange kidogo.
Ruto gavernor amejiunga na Nasa na juzi kasema nakuja na mtaji wa kura million moja, let's say Kaja na kura laki tano, hiyo bado itakuwa faida kwa NASA. Rift valley imegawanyika hawata vote as a block simply because Mtoto wa moi nae yupo pale, though amesha weka wazi kwamba chama chake kitafanya kazi na uhuru.
Serikali ya jubilee ina kashfa nyingi Sana, kuanzia mamilioni ya NYS hadi standard gauge, reffer to the latest news, bei ya unga imepanda mkate nk.
Waluya siku zote sio wana jubelee, wamekuwa royal to odinga family, Na hata juz wamerizika na Formation ya NASA ukizingatia mudavadi ndie akikuja na idea ya NASA.
Ukambani kwa wakina kalonzo wapo NASA though kuna washiriki wake wamepoteza kwenye pliminaries ndio wakahamia kwa uhuru, wengine wapo kwa govener mtua ambae nae hana influes sana ukambani.
Mombasa yaani coast ndio usiseme wanamuamini na wapo bega kwa bega na governor 001 yaaani Governor Joho,
To make it short uhuru anaweza akashinda lakini Kwa kuiba Kira, natabiri round two, au machafuko tena Kenya,though am not a prophet of doom.
Mwisho, kama NASA watachanga karata zao vizuri kwa kweli uhuru ana wakati mgumu.
Sikuzote ukweli huwa unauma sana.UK amewadanganya watu wake eti JMT inalipa mishahara kupitia pesa ya wahisani.Mshenzi sana yule