Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Umenikumbusha mbali sanaWananchi gani wanamuomba huyo mgonjwa tena mzee? Mpaka bunge linaisha Mkono alikuwa kitandani, leo Lowassa hata kutembea tu ni mtihani, ndio wananchi wamuombe?
And the vise versa is true! [emoji41]Kwahiyo kumbe mtu akiwa chadema ccm kwenu anakuwa mtakatifu?
Nyie mnakumbuka? Kwani mahakama mliyomwanzishia imeenda wapi?Nani alisema
MaccmNani alisema
Kutoka Urais hadi UbungeWananchi wa monduli wanamuomba Waziri Mkuu mstaafu agombee ubunge ili arudie uwakilishi wake
Wana monduli inaonekana bila Lowasa hawawezi kusonga mbele
Mzee atakubali ? Tusubiri atasemaje
Panya 🐀 ni muharibifu sana ila ukimfundisha hata nyama uliyopika hawezi kula.Mnapitisha Fisadi Ligombee,? Wananchi wanalilia Fisadi Papa.
Duuu!!! Huyu mmasai bado hajabadili mbinu anatumia zile zile zilizomfelisha???Wananchi wa monduli wanamuomba Waziri Mkuu mstaafu agombee ubunge ili arudie uwakilishi wake
Wana monduli inaonekana bila Lowasa hawawezi kusonga mbele
Mzee atakubali ? Tusubiri atasemaje
Labda kama Taasisi ya Magonjwa ya akili - Mirembe itatakiwa kuwa na mwakilishi bungeni.Na ww unagombea Jimbo gn mkuu
AiseeeeAnarudi kupiga dili!tena na yule wa igunga atarudi rostam!!!ngoja tuone!!!
Bia yetuWananchi wa monduli wanamuomba Waziri Mkuu mstaafu agombee ubunge ili arudie uwakilishi wake
Wana monduli inaonekana bila Lowasa hawawezi kusonga mbele
Mzee atakubali ? Tusubiri atasemaje
Baada ya kusafishwa na CHADEMA amerudi nyumbani akiwa Msafi.Mnapitisha Fisadi Ligombee,? Wananchi wanalilia Fisadi Papa.
Hadhi yake sio Ubunge ni UraisWananchi wa monduli wanamuomba Waziri Mkuu mstaafu agombee ubunge ili arudie uwakilishi wake
Wana monduli inaonekana bila Lowasa hawawezi kusonga mbele
Mzee atakubali ? Tusubiri atasemaje
Mzee anatuma mwanawe FredWananchi wa monduli wanamuomba Waziri Mkuu mstaafu agombee ubunge ili arudie uwakilishi wake
Wana monduli inaonekana bila Lowasa hawawezi kusonga mbele
Mzee atakubali ? Tusubiri atasemaje
Akikubali atakua mtu wa ajabu sanaWananchi wa Monduli wanamuomba Waziri Mkuu mstaafu agombee ubunge ili arudie uwakilishi wake
Wana Monduli inaonekana bila Lowassa hawawezi kusonga mbele
Mzee atakubali? Tusubiri atasemaje