Elections 2015 Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya II " Hana Jipya"

Lowassa very soon atakua 'old news'
hata huko CCM hawamjadili tena
now wanamjadili Jaji Ramadhani na Makongoro na wengine
why Mwanakijiji unajaribu kumfanya aendelee kuwa 'relevant'?
au ni promo ya aina nyingine?
alichofanya nwanakijiji ni elimu ya uzalendo.. na kama usipoelewa andishi hili utakuwa na matatizo hilo la promo sidhani maana naona kammaliza zaidi.
Pasco ndugu yangu acha kumsapoti huyu mmasai mwenzangu.. waachie kina ocampo four ambao wanapata vihela vya maandazi
Ahsanta.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MM usharudi na thread zako za "yes i said"???? No new.
 
MM we ni noma nmekuvulia kofia, wapinzani tumieni hoja za mwanakijiji kuwapiga ccm na mziweke ktk ushaidi mfano tembeeni na speech ya jk kwenye mikutano na muwasikilizishe watanzania na mfanye comparison na kinachosemwa na hawa wagombea....hakiamungu kabla ya misa ya pili ukawa wanachukua nchi
 


Na. M. M. Mwanakijiji

Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward N. Lowassa hafai kupewa nafasi ya Urais.

Watanzania hawajachoka bado? Bado hawajakoma?
Niandikie: mwanakijiji@jamiiforums.com

Sisi wengine sasa tumeanza kuchoshwa na hizi kelele za kila siku siku fulani hafai!, kusema tuu fulani hafai, hakuwasaidii Watanzania, waliochoshwa na umasikini huu uliotopea, kama ungeshauri nani anafaa, utakuwa unatusaidia zaidi kuli kuishia tuu kuse,ma fulani hafai.

Tangu lini CCM imetuteulia kiongozi anayefaa?!, Rais Jayaya Kikwete nie rais anayemaliza muda wake, jee amefaa nini?!, miaka kumi sini hii sasa anamaliza?!. Kama Lowassa kwako hafai, it is fine, kwa sisi tunaomuona anafaa, tutaendelea kusimama nae, vingine kama hakuna anatefaa z`aidi ya huyu ambaye hafai, then ni safadhali huyu huyu asiyefaa, kwa sababu japo hafai, lakini ndiye aliyepo!, kuliko hao wanaofaa ambao hawapo!. Ukimuondoa Nyerere, Mwimyi alifaa?!, Jee Mkapa ndio alifaa?!, na Kikwete jee amefaa?!.

Kama huna jina la anayefaa, then huyuhuyu asiyafaa ndie rais wetu 2015 kupitia ndani ya CCM au nje ya CCM.

Kuhusu kufaa kwa Lowassa. mimi niliwahi kusema hivi.

[h=3]Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa..[/h]Nilisema hivi

 


Naamini hili umelisoma pengine itakupa jibu ya maswali yako.
Kwa namna mmoja isingekuwa vizuri kwa sasa kumponda Mhe.Lowassa maana bado chama haijampitisha kati ya waombaji 41.

Nadhani kupita kwa Lowassa ndani ya Chama chake na kuja huku nje kwa wananchi ni kipimo tosha kwa CCM na watanzania ndani ya CCM na Nje yake.

Idadi hiyo hapo chini ya Wadhamini DSM 212 150 imenifikirisha kuliko kitu kingine-kwamba wamejitolea bure kwa mapenzi yao na matumaini kwa mkombozi Lowassa.


CC Mzee Mwanakijiji.


 
Last edited by a moderator:

Mkuu, hili ni swali la karne kama sio la milenia. ni wabunge wachache sana katika historia ya siku za karibuni waliothubutu kupeleka miswada binafsi. Wabunge wengi hawajui kazi ya kutunga sheria ni yao,wao kikubwa ni kulalamikaaaa na mwisho kusema " naunga mkono hoja"
 
Mi hata kumjadili niliacha maana nimeona ni mweupe
 
Mwaka huu kitaeleweka tu.. CCM inaenda kuifuata KANU!!
 
Lowasa hafa hata kuongoza watoto kwenye kombolela.
 
Baada ya Edward Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni Superman, namdurufu kidogo Lowassa kwa kujikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu mtu huyu.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…