Haya majina mbona kama nimewahi kuyasikia mahali... Gray Mgonja.. Rutabanzibwa... mmh..
Re: Breaking News: Lowassa Kuhojiwa Na Kamati?
--------------------------------------------------------------------------------
Quote: Mzee Mwanakijiji
Haya majina mbona kama nimewahi kuyasikia mahali... Gray Mgonja.. Rutabanzibwa... mmh..
sina uhakika 100% ila nathani ni kweli mkataba wa IPTL ya umeme wa Songosongo. Yule msemaji wa IPTL alikuwa na jina kama hili Rutabanzibwa..
Nilishauliza ni wapi katika sheria ya manunuzi ya Serikali (public procurement) panapo mpa Waziri Mkuu uwezo wa kuingilia utoaji na upatikani wa tenda za serikali.