johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hii ni kauli ya mgombea urais wa CHADEMA mnamo mwaka 2015 mzee Lowassa kwamba wapinzani wakishindwa kuing'oa CCM mwaka ule wa 2015 basi itawabidi wasubiri miaka 50 ipite
Yaelekea Tundu Lissu ameshasahau japo alikuwa pembeni ya mzee Lowassa wakati anayasema haya.
Maendeleo hayana vyama!
Yaelekea Tundu Lissu ameshasahau japo alikuwa pembeni ya mzee Lowassa wakati anayasema haya.
Maendeleo hayana vyama!