Lowassa yuko wapi??

Tungemuacha huyu Mzee apumzike.

Kiukweli katushangaza wengi ku mute.
 
Mtajichanganya tu mzee anaandaa nondo ambazo wakina jery muro wanazitoa kuitetea serikali wakat wao wapo kimya wanasubir taarifa za wahalifu wakina jery wamejipa shughuli za upelelez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…