donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Salaam wakuu wangu,
Naomba kuuliza hiki kitu. Je kwa gpa ya lower second (Let's say 2.9) kuna uwezekano wa kwenda direct kufanya Masters bila kupitia post-graduate? Na je, vyuo gani hapa TZ ninaweza kufanya hivyo? Undergraduate nimefanya Banking & Finance. Salute!
Naomba kuuliza hiki kitu. Je kwa gpa ya lower second (Let's say 2.9) kuna uwezekano wa kwenda direct kufanya Masters bila kupitia post-graduate? Na je, vyuo gani hapa TZ ninaweza kufanya hivyo? Undergraduate nimefanya Banking & Finance. Salute!