Alikua ana church marriage mke akapeleka cheti kanisani...Hivi yule jamaa ilikuwaje akamkimbia au ndo alikimbia na michango[emoji51]
We born town kweli...umepita mle mle rafiki!ashawahi kutekwa na mke wa border way....!!!1. Phase 4
2. Marehemu border Njiwa
3. Marehemu Bishop wa kanisa moja la nasadiki huko kanda ya ziwa
4. Msaidizi wa huyu bishop,hadi walipanga kufunga na ndoa
5. Marehemu Yumba Yumba
6. Tajiri moja la Mwanza lenye kiwanda cha lacococa!
7. Yule jamaa aliyemkimbia dakika za mwisho kwenye kufunga ndoa
8. Marehemu Likwe
Ila jabal alimkata sana ngebe huyu na yule bimkubwa chai ngozi bangi aka muarabu koko...!!!sijui ht walimfanya niniPhase 4,alimpa kwanza ulaji pale Bank kubwa,then akaja mpa ubunge wa special seat,Jabali si alizinguana nalo vipi,likamtemesha kwanza umakamu mwenyekiti wa jumba kubwa linaloonhozwa na Kimbunga Jobo,ubunge kaukosa na mme kafariki,kabaki kua motivesheno sipika tu kama ulivyosema!
Alikua ana mke na hawana divosi akapeleka cheti cha ndoa ka baba paroko na ndoa ikafaaa!!!;Ukute alitishwa na phase 4! Akaona mambo yakuwekwa segedansi kama kina Babu na mwanae ya nini matatizo!
Kaka kula tano, halafu kweli jamani ujue Mara kwa Mara nakua mitaa hyo lakini sioni wateja madukani mwao ila nashangaa wamepaki magari makali,wanaishi good life [emoji38][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]daaahh!mjini kuna mambo!partee afta partee everee deiii!!!Maduka yote yale ya nguo pale studio na kule sinza utakaa nje pale masaa hutoona mtu akiingia mpaka unajiuliza hawa wanalipaje kodi? Watu wengi wananuanua kariakoo huko,nani aende maduka ya sinza kiatu cha 55,000 utaambiwa 120,000.
Ana sura ya kipole Sana'a ila weee!binti ngosha yule balaaa...kapigana vita zoteeee!!kuanzia WW 1 mpk WW 3 hahahahaaa...Dah huyu dada mbona alipita na watu hatari hivo, hyo ya bishop, sijui msaidizi na huyo tajiri wa mwanza ni baada ya kutemwa na phase 4 akawa wanapasiana, sasa mwendazake aliuvaa mkenge maskini hafu jinsi anavo act malaika na mapambio sasa
Minister to minister? AuYule Waziri mwenyewe shingo beauty ya twiga ni mjanja sana, sasa hivi anaupigia kwa minister mwingine
Yes minister to ministerMinister to minister? Au
[emoji23][emoji23][emoji23]Wazee wengi statehe yao ni kuiona tu mbunye.
Hata akigusisha juu anamwaga.
Cariiee....niazime spanna ndogo nifingulie code ya uyu mr. Inbobo code haisomiHawezi kuukosa maana hadi jabali mwendazake kapiga sana pale, na Mr. Inbox as well. Mama ana upiga mwingi
Mbona alipofariki alikuwa peke yake na watoto wa JK wakati msukuma yupo na michepuko huko
Hata huyo pia alikuwa mmoja waoSiyo yule aliye Wekwa ndani alikuwa DG wa MSD - Bohari ya madawa
[emoji23][emoji23]eti kapigana vita zote na kushindaAna sura ya kipole Sana'a ila weee!binti ngosha yule balaaa...kapigana vita zoteeee!!kuanzia WW 1 mpk WW 3 hahahahaaa...
Akaachiwa au ikawajeWe born town kweli...umepita mle mle rafiki!ashawahi kutekwa na mke wa border way....!!!
Mwarabu Koko alichepuka ndio maana jabali akashikwa na hasiraIla jabal alimkata sana ngebe huyu na yule bimkubwa chai ngozi bangi aka muarabu koko...!!!sijui ht walimfanya nini
Hii shughuli steve itabidi aanze kuilipia kodi mkuuAsee uzi huu una mambo kweli, nilipita na Bongo movie kama watatu, hivi viumbe havijui kukataa ni pesa yako tu. Kuna Mmoja Steve alinifanyia Mpango nikampa laki moja na demu akataka laki 5, nilimchapa akaambulia nae laki tu, nikalala mbele
Na huyo mwanaume alirudiana na mkewe au waliachana mazima, maana inasemekana huyo mwanaume alitumwa na njia kuu kumkomesha njia ya pembeniAlikua ana mke na hawana divosi akapeleka cheti cha ndoa ka baba paroko na ndoa ikafaaa!!!;
[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]vipi bila bila au...?!![emoji113]
Heh, yaishe ,
Sio kwa code hizi![emoji28][emoji28][emoji28]
Dada kaupiga mwingi kweli kweliHyu si alitekwaga marehemu yule alotakaga kuwaumbua wauza madawa kisa anatembea na mmewe!!!