D diana98 Member Joined Apr 13, 2010 Posts 26 Reaction score 0 Nov 1, 2010 #1 Chadema wataka matokeo ya ubungo yatangazwe haraka kabla yajachakachuliwa kuna vuruguzimetokea hapa naona mabomu ya machozi naskali kibao wametandazwa kila konaa
Chadema wataka matokeo ya ubungo yatangazwe haraka kabla yajachakachuliwa kuna vuruguzimetokea hapa naona mabomu ya machozi naskali kibao wametandazwa kila konaa
The Finest JF-Expert Member Joined Jul 14, 2010 Posts 21,605 Reaction score 6,092 Nov 1, 2010 #2 They better do that otherwise ni kuleta vurugu na uvunjifu wa amani
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,041 Nov 1, 2010 #3 Duh Loyola ndiyo jimbo gani la uchaguzi?lipo mkoa gani?mimi sijawahi kusikia jimbo hilo!!!!!!!!!!!
jaxonwaziri JF-Expert Member Joined Feb 17, 2010 Posts 375 Reaction score 195 Nov 1, 2010 #4 TUKUTUKU said: Duh Loyola ndiyo jimbo gani la uchaguzi?lipo mkoa gani?mimi sijawahi kusikia jimbo hilo!!!!!!!!!!! Click to expand... Loyola ni sehemu katika jimbo la uchaguzi la Ubungo ndg. So, nadhani umesikia sasa
TUKUTUKU said: Duh Loyola ndiyo jimbo gani la uchaguzi?lipo mkoa gani?mimi sijawahi kusikia jimbo hilo!!!!!!!!!!! Click to expand... Loyola ni sehemu katika jimbo la uchaguzi la Ubungo ndg. So, nadhani umesikia sasa
Mtumiabusara JF-Expert Member Joined Nov 18, 2009 Posts 473 Reaction score 40 Nov 2, 2010 #5 Temeke ccm wameshinda, wametangaza mapema, Ubungo kishindikana nini?