LRA ni aibu katika region yetu i.e EA???

LRA ni aibu katika region yetu i.e EA???

Tumain

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2009
Posts
3,154
Reaction score
71
UN imetoa taarifa kwamba Lord Resistance Army led by Joseph Kony imeajiri watoto zaidi ya 20,000 kwenye jeshi lao, wakiwemo watoto wa kike ambao wanatumika kama wives (ngono) tangu ilipoanza vita vyake miaka ya 1990's. Kwa mujibu wa report hiyo LRA ina recruite watoto mostly kutoka Kongo RDC na Uganda.
Pamoja na kutumia watoto wameshafanya mauaji ya kushtukiza katika vijiji vingi nchini kongo, uganda na sudan na kusababisha vilema, umaskini, magonjwa na zaidi ya wakazi 220,000 nchini pekee na wengi zaidi ya hao Uganda makazi yao yameharibiwa na LRA.
LRA ni kikundi cha kigaidi cha Kikristo katika ukanda wa maziwa makuu na east africa community, tunawaalani kwa uharibifu huo wa maisha ya watoto na raia wasio na hatia.
 
I think the African leaders should have to put in place the deliberate decision of arresting Joseph Kony and his leading top officials so that this crime will be stopped over the innocent people especially women and children. If Tanzania went to Comoro and stop violation there and Ugandans military army went to Somalia to stop violence there. Why are they failing to do the same in Uganda? I think charity begins at home and not away from home. Please East African leaders wake up and do something about this human rights violations
 
Inatia aibu sana kikundi hiki kipo zaidi ya miaka 20 sasa kumeshafanya mauaji ya kutisha na kusababisha vilema wengi kongo na uganda...sijui kwanini international media na watu kama kina Annan hawalishughulikii hili ...so many people are dying???
 
UN imetoa taarifa kwamba Lord Resistance Army led by Joseph Kony imeajiri watoto zaidi ya 20,000 kwenye jeshi lao, wakiwemo watoto wa kike ambao wanatumika kama wives (ngono) tangu ilipoanza vita vyake miaka ya 1990's. Kwa mujibu wa report hiyo LRA ina recruite watoto mostly kutoka Kongo RDC na Uganda.
Pamoja na kutumia watoto wameshafanya mauaji ya kushtukiza katika vijiji vingi nchini kongo, uganda na sudan na kusababisha vilema, umaskini, magonjwa na zaidi ya wakazi 220,000 nchini pekee na wengi zaidi ya hao Uganda makazi yao yameharibiwa na LRA.
LRA ni kikundi cha kigaidi cha Kikristo katika ukanda wa maziwa makuu na east africa community, tunawaalani kwa uharibifu huo wa maisha ya watoto na raia wasio na hatia.

LRA sio kikundi cha kikristo... ila kinajiita kikundi cha kikristo! Hawa ni wauaji na hakuna kanisa au mkristo yeyote anayewaunga mkono.
 
LRA sio kikundi cha kikristo... ila kinajiita kikundi cha kikristo! Hawa ni wauaji na hakuna kanisa au mkristo yeyote anayewaunga mkono.
Katika moja ya madai yao ni kwamba wanataka uganda "Iongozowe kwa amri kumi za mungu kwa mujibu wa biblia"
Hakuna kanisa au mkristo yeyote anayewaunga mkono inaweza kuwa kweli au si kweli serikali za nchi za maziwa makuu wantakiwa wawashike hawa jamaa haraka iwezekanavyo kama walivyofanya commoro.
 
Hakuna haja ya kusubiria hawa watu waadhibiwa na Mungu wao baada ya kufa. I doubt if these people have a God. Wana stahili kuadhibiwa hapa hapa.
 
LRA ni kikundi cha kigaidi cha Kikristo katika ukanda wa maziwa makuu na east africa community,

Ni kikundi KINACHOJIITA cha kikristo! Kweli wanayofanya ni aibu tupu na kwa mujibu wa mafundisho ya kikristo wafanyayo uovu na ni kazi za ibilisi.
 
Back
Top Bottom