Tanzania imegawanyika kuna Tanzania bara NA Tanzania visiwani.Matokeo yanayotangazwa na Lubuva ni ya Tanzania bara..natumaia nimewajibu.
Tanzania imegawanyika kuna Tanzania bara NA Tanzania visiwani.Matokeo yanayotangazwa na Lubuva ni ya Tanzania bara..natumaia nimewajibu.
Wanasheria naomba msaada wenu kujua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anatangaza matokeo ya uchaguzi wa Tanganyika ama wa Tanzania ? Kama ni wa tanzania mbona uchaguzi wa Zanzibar ulishafutwa ??
Swali...
Je kuna uhalali wowote wa yeye kuendelea kutangaza matokeo wakati upande mmoja wa muungano umeshafuta matokeo yake ?? Ama haya matokeo anayoyatangaza ni ya uchaguzi wa Tanganyika tuu ??
Naomba msaada wenu wakuu maana uwelewa wangu ni mdogo kuhusu hili swala..
Mkuu,Rais atakayeshinda atakuwa ni wa Muungano au Tanzania bara tupu na kama ni wa Bara tupu kura za muungano walizopiga wazenji zinaenda wapi??
Nec si zec.urais wa muungano unasimamiwa nec hivyo kauli ya zec ni kwa uchaguzi unahusu serikali ya mapinduzi ya znz si serikali ya muungano
Nec si zec.urais wa muungano unasimamiwa nec hivyo kauli ya zec ni kwa uchaguzi unahusu serikali ya mapinduzi ya znz si serikali ya muungano
Mtajibeba......
Magufuli anaapishwa kesho Uhuru stadium.
Tanzania imegawanyika kuna Tanzania bara NA Tanzania visiwani.Matokeo yanayotangazwa na Lubuva ni ya Tanzania bara..natumaia nimewajibu.
Tundu lissu hawezi kutetea mtu anayejinyeaHata pia na mimi ningependa kusikia kuhusu ile tundu lisu mbona kwenye hili kimya?
Wewe bwana weweee!.....Shamba la Bwana Heri, Minazi ya Bwana Heri, wewe Mpwapwike utafanya nini?
KWani raisi wa Tanzania visiwani,ana mamlaka gani akiwa bara?