Luc Eymael alikuwa sahihi. Tumwombe msamaha Wanayanga

Luc Eymael alikuwa sahihi. Tumwombe msamaha Wanayanga

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Ukiwasikia, ukiwasoma Wanayanga wakilikataa goal walilofungwa Azam ambao jana Captain wao alilikubali na kusema ni Uzembe wao. Unagundua wanayanga siyo Binadamu.

Hawaujui mpira. Ndo maana huwa wanaambia haya kambebeni Sarpong wanaenda, wanaambiwa kambebeni Hersi wanaenda.

Wanaambiwa nendeni mkambebe yule sharobaro aliyekuwa anaongea Kireno. Hawafikirii wanaenda. Kama mbwa ukimwambia shika yule, haulizi kwa nini. Anaenda.

Hawa Yanga si binadamu wa kawaida. Wana matatizo makubwa kichwan na msongo mkubwa wa mawazo. Wamechanganyikiwa,wanatapa tapa wengi Elimu walikosa.

Goal la jana halikuwa na shida msikilizeni Kaptain wa Azam alipohojiwa. Lakini angalieni magoli kama hayo hufungwa na team zenye wachezaji wenye akili na kuufahamu mpira.
 
Nyani sio tusi la mwana Yanga ni tusi la mtu yoyote mweusi kwahiyo nyie mazamwamwa mngemuacha sisi mpira biriani tungemfurusha tu kwasababu sisi pia watu weusi sio wazungu...labda aliyewatukana ivyo naye angekuwa mweusi tungechukulia powa,umbwa nyie[emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Nyani ni utopolo.Akili zao wanazijua wenyewe tu
Nyani sio tusi la mwana Yanga ni tusi la mtu yoyote mweusi kwahiyo nyie mazamwamwa mngemuacha sisi mpira biriani tungemfurusha tu kwasababu sisi pia watu weusi sio wazungu...labda aliyewatukana ivyo naye angekuwa mweusi tungechukulia powa,umbwa nyie[emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Mimi ni mwana Yanga,na goli nililikubali na nikamsifu Morison kuwa ni mchezaji mwenye akili nyingi,mjanja ila anatukera wana Yanga.

Nakuomba ndugu yangu,nitoe kwenye hilo kundi la Manyani. Please. Nakuomba ndugu yangu!!![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyani sio tusi la mwana Yanga ni tusi la mtu yoyote mweusi kwahiyo nyie mazamwamwa mngemuacha sisi mpira biriani tungemfurusha tu kwasababu sisi pia watu weusi sio wazungu...labda aliyewatukana ivyo naye angekuwa mweusi tungechukulia powa,umbwa nyie[emoji2959][emoji2959][emoji2959]
Unajua kuna nyani wana ngozi kama wazungu?
 
hawana tofauti na nyie mlieshinda mnatafuta nyani Seng'hwaa maporini eti vidole vitano kushoto na vinne kulia namkashindwa fuzu mbele ya kaizer......
 
Kusema Captain wa Azam alikubali lile goli nao ni utopolo kama unaowaita. Pale mbele ya Mtangazaji uwanjani aliogopa yaliyompata Ambokile na ndo maana wakati anahojiwa na Mwandishi mwingine wakati anataka kupanda basi alitema mbovu sana labda kama hujamsikia. Hivyo tafuta reference nyingine.
 
Kusema Captain wa Azam alikubali lile goli nao ni utopolo kama unaowaita. Pale mbele ya Mtangazaji uwanjani aliogopa yaliyompata Ambokile na ndo maana wakati anahojiwa na Mwandishi mwingine wakati anataka kupanda basi alitema mbovu sana labda kama hujamsikia. Hivyo tafuta reference nyingine.

JIPIGE PIGE KIFUANI SEMA MIMI NI NYANI NA NI MBWA.😁😁😁😁😁😁 HALAFU ANGALIA HII VIDEO. ITAGUNDUA KOCHA WENU LUC EYMAEL ALIWAGUNDUA NYIE YANGA SI BINADAMU.

 
Unajua kuna nyani sijui sokwe wana ngozi kama wazungu?
Na bado wakatuletea story za binadamu wa kwanza alikuwa nyani if they would care kuhusu rangi za manyani wengine wangesema binadamu huyo wa kwanza ambaye ji nyani alitokea London,New York au Stockholm

Hilo tusi la nyani ni tusi la mzungu kwa mwafrika tu na si vinginevyo..
 
Back
Top Bottom