Luca Modric atwaa uchezaji bora wa dunia

Yap. I agee with you Bro. Angetoka kule alipo Mwakani angeweza kuchukua huyu. But unamuonaje kijana wetu Kante Palapalapa.
Mmh nafasi ni ndogo... Mesi atafanya awezalo mwaka huu kuweka historia ya kuchukua mara 6
 
Bado naona kama wamembeba....Nimeona sehemu wamemchambua yeye na Cr7...kwa uchambuzi ule naona Ronaldo alifaa nikiuona tena nitapaste hapa.
Kwani miaka Ile Zidane, Rivaldo, Figo wanabeba mbona walikuwepo wafungaji mabao mengi/wafungaji bora
 
Luca amestahili ila ukimuangalia anavyofanywagwa na Sergio busquets unaweza hisi amependelewa
 
Yaani kama LUKA modric asingepata tuzo sijui ingekuwaje??? yule miguu sijui ni mashine?? tena akicheza luka na raktic mbn utaona nyota tuu!!
 
Mbali na kuwa amepata heshima na umaarufu kuongezeka. Mim shida ni je hiyo tuzo imeambatana na cheque yoyote yenye kulainisha vyuma?
 
Bado naona kama wamembeba....Nimeona sehemu wamemchambua yeye na Cr7...kwa uchambuzi ule naona Ronaldo alifaa nikiuona tena nitapaste hapa.

Hao wachambuzi itakua ni Cr7 fanboys tu. Modric alikua above every one-else kwa msimu uliomaliza.
 
Jamaa zetu naona wote wawili hawakuonekanwa maeneo ya tukio.

Ubinafsi kitu kibaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…