Lucid Dreaming: Kuota ukiwa unafahamu (Spirit Science)

Lucid Dreaming: Kuota ukiwa unafahamu (Spirit Science)

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho.

Wanadamu na vitu vyote vilivyo hapa duniani ni Energy. Tunaweza kusema kuwa ni vibration. Na katika kwa mfumo wa consciousness hapa duniani tupo katika wavelength 7.23cm. Ndio maana unaweza ukaona kitu au ukagusa kitu kilicho kwenye mfumo huo. Hii ni namna ya vitu vinavyoishi hapa duniani. Milio ya sauti tofauti tofauti ni frequency flani. Sitaki nipoteze mda mrefu kuonglelea hilo jambo kwa kuwa ni utangulizi tu wa kitu ambacho ninataka kuongelea.

Mambo ya kiroho na science zilikuwa ziko mbali sana. Lakini kadri siku zinavyozidi kwenda sayansi na Mambo ya kiroho vinakuja pamoja. Lengo kubwa ni kuwafumbua macho watu na wajitambue wao kuwa ni akina nani.

Mambo ya kiroho yalipotoshwa kwa kiasi fulani na dini. Na kuwafanya watu wawe waoga.

Lucid Dreaming: Ni namna ya kuota ndoto ukiwa akili yako ipo active. Hii ni hatua muhimu sana kwa safari ya kiroho. Ni wakati mtu anaota ndoto na anakuwa katika hali ya kujifahamu. Na akili yake inakuwa ipo active na anaweza akaelezea ndoto yote. Inakuwa ni vigumu kutenganisha uotaji na kutokuota.

Kuna tofauti ipo kiasi fulani wakati unaota na wakati huoti ili kujihakikishia kuwa unaota au la. Kama unaota ukianza kuhesabu vidole vya mikono utaona vidole vipo tofauti. Basi ujue kuwa upo kwenye doto. Na katika hali hiyo utakuwa na uwezo mkubwa maana unaweza ukafanya vitu vikubwa. Unaweza ukafanya chochote kinachokuja kwenye akili yako.

Lucid Dreaming husaidia sana kutibu magonjwa ya kisaikologia. Watu wanaoota ndoto za ajabu inawasaidia mno. Pia husaidia wakati mtu anajiandaa na kitu flani. Anafanya mazoezi ya hicho kitu kwenye ndoto. Mfano: unajiandaa kufanya presentation tayari unaifanya kwenye Lucid Dream kiasi kwamba unafanya na unaweza ukawa unajibu maswali kwa yule anaye kuuliza.

Kunahatua muhimu ya kuweza kuanza kujifunza Lucid Dreaming. Nazo ni za kawaida sana:
Kwanza ukumbuke ndoto ya kawaida ukiamuka unakuwa umeisahau. Lakini hii inakuwa na uhalisia maana akili yako inafanya kazi.

Kwa wale wanao anza kabisa ni kwamba: Neda kwenye kitanda kulala na kisha weka alamu yako ya simu baada ya masaa manne ikuamshe. Baada ya kuamka subiri mda wa dakika kama 10 hivi. Kisha nenda tena kitandani kulala. Tulia tu pale kitandani, kisha utaanza kuhisi mwili wako unakufa ganzi. wewe tulia tu baada ya mda utaanza kuingia kwenye Lucid Dreaming.


Jaribu utanipa jibu.
 
Duh... ngoja niisome tena na tena nielewe
 
Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho.

Wanadamu na vitu vyote vilivyo hapa duniani ni Energy. Tunaweza kusema kuwa ni vibration. Na katika kwa mfumo wa consciousness hapa duniani tupo katika wavelength 7.23cm. Ndio maana unaweza ukaona kitu au ukagusa kitu kilicho kwenye mfumo huo. Hii ni namna ya vitu vinavyoishi hapa duniani. Milio ya sauti tofauti tofauti ni frequency flani. Sitaki nipoteze mda mrefu kuonglelea hilo jambo kwa kuwa ni utangulizi tu wa kitu ambacho ninataka kuongelea.

Mambo ya kiroho na science zilikuwa ziko mbali sana. Lakini kadri siku zinavyozidi kwenda sayansi na Mambo ya kiroho vinakuja pamoja. Lengo kubwa ni kuwafumbua macho watu na wajitambue wao kuwa ni akina nani.

Mambo ya kiroho yalipotoshwa kwa kiasi fulani na dini. Na kuwafanya watu wawe waoga.

Lucid Dreaming: Ni namna ya kuota ndoto ukiwa akili yako ipo active. Hii ni hatua muhimu sana kwa safari ya kiroho. Ni wakati mtu anaota ndoto na anakuwa katika hali ya kujifahamu. Na akili yake inakuwa ipo active na anaweza akaelezea ndoto yote. Inakuwa ni vigumu kutenganisha uotaji na kutokuota.

Kuna tofauti ipo kiasi fulani wakati unaota na wakati huoti ili kujihakikishia kuwa unaota au la. Kama unaota ukianza kuhesabu vidole vya mikono utaona vidole vipo tofauti. Basi ujue kuwa upo kwenye doto. Na katika hali hiyo utakuwa na uwezo mkubwa maana unaweza ukafanya vitu vikubwa. Unaweza ukafanya chochote kinachokuja kwenye akili yako.

Lucid Dreaming husaidia sana kutibu magonjwa ya kisaikologia. Watu wanaoota ndoto za ajabu inawasaidia mno. Pia husaidia wakati mtu anajiandaa na kitu flani. Anafanya mazoezi ya hicho kitu kwenye ndoto. Mfano: unajiandaa kufanya presentation tayari unaifanya kwenye Lucid Dream kiasi kwamba unafanya na unaweza ukawa unajibu maswali kwa yule anaye kuuliza.

Kunahatua muhimu ya kuweza kuanza kujifunza Lucid Dreaming. Nazo ni za kawaida sana:
Kwanza ukumbuke ndoto ya kawaida ukiamuka unakuwa umeisahau. Lakini hii inakuwa na uhalisia maana akili yako inafanya kazi.

Kwa wale wanao anza kabisa ni kwamba: Neda kwenye kitanda kulala na kisha weka alamu yako ya simu baada ya masaa manne ikuamshe. Baada ya kuamka subiri mda wa dakika kama 10 hivi. Kisha nenda tena kitandani kulala. Tulia tu pale kitandani, kisha utaanza kuhisi mwili wako unakufa ganzi. wewe tulia tu baada ya mda utaanza kuingia kwenye Lucid Dreaming.


Jaribu utanipa jibu.

Umeongelea alarm umenikumbusha, inakuaje ukiweka alarm unaamka mwenyewe dk 5 hadi 10 kabla haijalia wakati siku za kawaida huwahi hivyo
 
Mada inanifaa sana hii. Na hivi huwa naota mandoto mabaya kwelikweli.
 
Dah, kwani nilazima ulale usingizi kwanza.... Je ukiamua kutulia tu hapo kitandani hiyo lucid dreaming haiji......?????
 
Dah, kwani nilazima ulale usingizi kwanza.... Je ukiamua kutulia tu hapo kitandani hiyo lucid dreaming haiji......?????
Ukilala na kuamka(Hii ni kisayansi) Wakati wa kulala unaviambia viungo vya mwili na akili sasa unalala. Ukiamka na kukaa kidogo unaamsha akili inakuwa active. Unapoenda kulala mara ya pili akili itakuwa active na kila kitu kitachokuwa kinafanyika akili itakuwa inaelewa na kuweka kwenye kumbu kumbu. Ni hivyo tu
 
Annael naona unitag kwenda mada zako kama hautojali!
 
Duh hizi mada ni nzuri ila soon utasikia "itaendelea kwenye kundi la wasapu" uko ndiko wanakoumia naomba ukomae hapa hapa
 
Ifanye sasa kisayansi zaidi utaona matokeo yake na utaanza kubadili namna ya kufikiri

Mimi ndoto ikiwa mbaya huwa najikurupua kwa kujiuliza swali hili 👉HIVI NAOTA AU SIKO KWENYE NDOTO. Nikijiuliza hivo tu nakurupuka.
Sasa nikishajielewa kuwa niko kwenye ndoto nifanyeje?
 
Mimi ndoto ikiwa mbaya huwa najikurupua kwa kujiuliza swali hili HIVI NAOTA AU SIKO KWENYE NDOTO. Nikijiuliza hivo tu nakurupuka.
Sasa nikishajielewa kuwa niko kwenye ndoto nifanyeje?
Unapojua kuwa uko kwenye ndoto na kugundua kuwa upo kwenye ndoto ni hatua nzuri sana kwa mambo ya kiroho. Cha muhimu ni kujua jinsi ya kuproject ndoto yako. Maana kwenye ndoto unakuwa na uwezo wa kuumba unaweza kufanya chochote kikatokea kila kinachokuja kwenye wazo kinakuwa hivyo.
 
Unapojua kuwa uko kwenye ndoto na kugundua kuwa upo kwenye ndoto ni hatua nzuri sana kwa mambo ya kiroho. Cha muhimu ni kujua jinsi ya kuproject ndoto yako. Maana kwenye ndoto unakuwa na uwezo wa kuumba unaweza kufanya chochote kikatokea kila kinachokuja kwenye wazo kinakuwa hivyo.

Sawa sawa
 
Leo niliweka alarm dakika 5 kabla ya kufika huo muda nikashtuka hii ikoje ???
Mda wa saa nilizozitaja ni kwamba unakuwa katika state ya kuota doto. Sasa unapoamka kipindi hicho utakuwa katika state ya kuota. Baada ya kukaa mda fulani akili zinakuwa active kwahiyo unaporudi kwenda kulala tena unakuwa katika state ya kwenye ndoto lakini akili ziko active. Ni hivyo tu na formula yake ni ya kisayansi siyo mazingaombwe.
 
Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho.

Wanadamu na vitu vyote vilivyo hapa duniani ni Energy. Tunaweza kusema kuwa ni vibration. Na katika kwa mfumo wa consciousness hapa duniani tupo katika wavelength 7.23cm. Ndio maana unaweza ukaona kitu au ukagusa kitu kilicho kwenye mfumo huo. Hii ni namna ya vitu vinavyoishi hapa duniani. Milio ya sauti tofauti tofauti ni frequency flani. Sitaki nipoteze mda mrefu kuonglelea hilo jambo kwa kuwa ni utangulizi tu wa kitu ambacho ninataka kuongelea.


mkuu naomba uni tag kama utaileta hii mada.kwaa mimi pia naona ni mada muhimu kwangu mkuu

Pole kwa usumbufu na kazi njema mkuu
 
Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho.

Wanadamu na vitu vyote vilivyo hapa duniani ni Energy. Tunaweza kusema kuwa ni vibration. Na katika kwa mfumo wa consciousness hapa duniani tupo katika wavelength 7.23cm. Ndio maana unaweza ukaona kitu au ukagusa kitu kilicho kwenye mfumo huo. Hii ni namna ya vitu vinavyoishi hapa duniani. Milio ya sauti tofauti tofauti ni frequency flani. Sitaki nipoteze mda mrefu kuonglelea hilo jambo kwa kuwa ni utangulizi tu wa kitu ambacho ninataka kuongelea.

Mambo ya kiroho na science zilikuwa ziko mbali sana. Lakini kadri siku zinavyozidi kwenda sayansi na Mambo ya kiroho vinakuja pamoja. Lengo kubwa ni kuwafumbua macho watu na wajitambue wao kuwa ni akina nani.

Mambo ya kiroho yalipotoshwa kwa kiasi fulani na dini. Na kuwafanya watu wawe waoga.

Lucid Dreaming: Ni namna ya kuota ndoto ukiwa akili yako ipo active. Hii ni hatua muhimu sana kwa safari ya kiroho. Ni wakati mtu anaota ndoto na anakuwa katika hali ya kujifahamu. Na akili yake inakuwa ipo active na anaweza akaelezea ndoto yote. Inakuwa ni vigumu kutenganisha uotaji na kutokuota.

Kuna tofauti ipo kiasi fulani wakati unaota na wakati huoti ili kujihakikishia kuwa unaota au la. Kama unaota ukianza kuhesabu vidole vya mikono utaona vidole vipo tofauti. Basi ujue kuwa upo kwenye doto. Na katika hali hiyo utakuwa na uwezo mkubwa maana unaweza ukafanya vitu vikubwa. Unaweza ukafanya chochote kinachokuja kwenye akili yako.

Lucid Dreaming husaidia sana kutibu magonjwa ya kisaikologia. Watu wanaoota ndoto za ajabu inawasaidia mno. Pia husaidia wakati mtu anajiandaa na kitu flani. Anafanya mazoezi ya hicho kitu kwenye ndoto. Mfano: unajiandaa kufanya presentation tayari unaifanya kwenye Lucid Dream kiasi kwamba unafanya na unaweza ukawa unajibu maswali kwa yule anaye kuuliza.

Kunahatua muhimu ya kuweza kuanza kujifunza Lucid Dreaming. Nazo ni za kawaida sana:
Kwanza ukumbuke ndoto ya kawaida ukiamuka unakuwa umeisahau. Lakini hii inakuwa na uhalisia maana akili yako inafanya kazi.

Kwa wale wanao anza kabisa ni kwamba: Neda kwenye kitanda kulala na kisha weka alamu yako ya simu baada ya masaa manne ikuamshe. Baada ya kuamka subiri mda wa dakika kama 10 hivi.

Usubiri ktk mtindo gani? Umelala hapo, ukae kitako, ushuke kitandani na kukaa sehem nyengine, usimame or?
Kisha nenda tena kitandani kulala. Tulia tu pale kitandani, kisha utaanza kuhisi mwili wako unakufa ganzi. wewe tulia tu baada ya mda utaanza kuingia kwenye Lucid Dreaming.


Jaribu utanipa jibu.

Hope hapo unalala kwa kunyooka. Isn't it? Vipi kuhusu wale wanaolala ubavu ubavu?
 
Duh hizi mada ni nzuri ila soon utasikia "itaendelea kwenye kundi la wasapu" uko ndiko wanakoumia naomba ukomae hapa hapa

Huyu nazani hana hizo tabia yule alikuwa ni Rakims na tayari watu walimnyea!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom