Ndugu yangu usiwatishe watu. Kitu kinachofanyika ni kuongea na nafsi yako mwenyewe. Usiwatishe watu hakuna hata mmoja aliyewahi kuathirika na Lucid Dreaming. Acha kutisha watu kama kitu haujui ni bora ukakaa kimya. Lucid Dreaming ni hatua moja kuelekea kwenye Spiritual Reality. Acha kuogopesha watu waache wajue ukweli wao.Lucid Dreaming au Austral Travel ni highest stage of meditation mtu wa kawaida si rahisi kufanya.
Wewe kama huwezi hata kufanya meditation ya dakika 30 utaweza vipi hili?
Halafu pia uwaeleze side b ya hii practice kwasababu kuna vitu watu waelezwe kabla ya practice yenyewe.
Anyway....kwa sababu wengi hapa ni beginners hakuna tatizo sana hatahivyo kwasababu wote hawatoweza kufanya lucid Dreaming hata wajitahidi vipi.
Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho.
Wanadamu na vitu vyote vilivyo hapa duniani ni Energy. Tunaweza kusema kuwa ni vibration. Na katika kwa mfumo wa consciousness hapa duniani tupo katika wavelength 7.23cm. Ndio maana unaweza ukaona kitu au ukagusa kitu kilicho kwenye mfumo huo. Hii ni namna ya vitu vinavyoishi hapa duniani. Milio ya sauti tofauti tofauti ni frequency flani. Sitaki nipoteze mda mrefu kuonglelea hilo jambo kwa kuwa ni utangulizi tu wa kitu ambacho ninataka kuongelea.
Mambo ya kiroho na science zilikuwa ziko mbali sana. Lakini kadri siku zinavyozidi kwenda sayansi na Mambo ya kiroho vinakuja pamoja. Lengo kubwa ni kuwafumbua macho watu na wajitambue wao kuwa ni akina nani.
Mambo ya kiroho yalipotoshwa kwa kiasi fulani na dini. Na kuwafanya watu wawe waoga.
Lucid Dreaming: Ni namna ya kuota ndoto ukiwa akili yako ipo active. Hii ni hatua muhimu sana kwa safari ya kiroho. Ni wakati mtu anaota ndoto na anakuwa katika hali ya kujifahamu. Na akili yake inakuwa ipo active na anaweza akaelezea ndoto yote. Inakuwa ni vigumu kutenganisha uotaji na kutokuota.
Kuna tofauti ipo kiasi fulani wakati unaota na wakati huoti ili kujihakikishia kuwa unaota au la. Kama unaota ukianza kuhesabu vidole vya mikono utaona vidole vipo tofauti. Basi ujue kuwa upo kwenye doto. Na katika hali hiyo utakuwa na uwezo mkubwa maana unaweza ukafanya vitu vikubwa. Unaweza ukafanya chochote kinachokuja kwenye akili yako.
Lucid Dreaming husaidia sana kutibu magonjwa ya kisaikologia. Watu wanaoota ndoto za ajabu inawasaidia mno. Pia husaidia wakati mtu anajiandaa na kitu flani. Anafanya mazoezi ya hicho kitu kwenye ndoto. Mfano: unajiandaa kufanya presentation tayari unaifanya kwenye Lucid Dream kiasi kwamba unafanya na unaweza ukawa unajibu maswali kwa yule anaye kuuliza.
Kunahatua muhimu ya kuweza kuanza kujifunza Lucid Dreaming. Nazo ni za kawaida sana:
Kwanza ukumbuke ndoto ya kawaida ukiamuka unakuwa umeisahau. Lakini hii inakuwa na uhalisia maana akili yako inafanya kazi.
Kwa wale wanao anza kabisa ni kwamba: Neda kwenye kitanda kulala na kisha weka alamu yako ya simu baada ya masaa manne ikuamshe. Baada ya kuamka subiri mda wa dakika kama 10 hivi. Kisha nenda tena kitandani kulala. Tulia tu pale kitandani, kisha utaanza kuhisi mwili wako unakufa ganzi. wewe tulia tu baada ya mda utaanza kuingia kwenye Lucid Dreaming.
Jaribu utanipa jibu.
Lucid Dreaming au Austral Travel ni highest stage of meditation mtu wa kawaida si rahisi kufanya.
Wewe kama huwezi hata kufanya meditation ya dakika 30 utaweza vipi hili?
Halafu pia uwaeleze side b ya hii practice kwasababu kuna vitu watu waelezwe kabla ya practice yenyewe.
Anyway....kwa sababu wengi hapa ni beginners hakuna tatizo sana hatahivyo kwasababu wote hawatoweza kufanya lucid Dreaming hata wajitahidi vipi.
Usubiri ktk mtindo gani? Umelala hapo, ukae kitako, ushuke kitandani na kukaa sehem nyengine, usimame or?
'
Hope hapo unalala kwa kunyooka. Isn't it? Vipi kuhusu wale wanaolala ubavu ubavu?
Hii haina uhusiano kabisa na Meditation wala haina faida sawa wala uhusiano sawa.
Nadhani kuna tatizo kubwa sana katika modern spirituality. Kuna form nyingi sana zinazoclaim ni sawa na Meditation au zina effect sawa na meditation. Lakini hiyo ni effect iliyotakana na movement ya New Age. Hawa New Age wamekuwa wakifundisha watu elimu mbalimbali ambazo nao waliziiga kutoka katika spirituality za East zamani.
Zamani sana kuna watu waliokuwa wanajifunza meditation kupitia gurus, wengine waliacha maisha ya mjini na kukaa porini kujifunza meditation, lakini miaka ya sasa wanafundisha meditation kwa kutumia sauti guidance, slow music, imaginations n.k vyote hivi is a lie. Kutokana na nature ya akili katika kutengeneza imagination ndio maana Gurus wa zamani sana walikuwa wanatumia trick mbalimbali kufundisha watu ili kuwatoa katika imagination zao wanazojitengenezea wenyewe. Ilikuwa ukipata guru mzuri unaweza ukafanya meditation hata ikachukua siku moja mtu akaamka to the highest reality lakini miaka ya sasa watu hutumia miaka na miaka bila kufikia highest level.
Napendekeza sana kwa wale wanaojifunza kuamka (Enlightenment/Revelation) waepuke sana fakes zilizowekwa katika NEW AGE. Wajaribu kusoma kwanza what is it na pia wasisahau kufahamu asili ya hizo practice zilianza wapi na ni kwanini hapo kale watu walivigundua. Miaka ya zamani ilikuwa ni elimu ya siri sana. Hata Yesu inaaminika alikuwa anaifahamu Taamuli (some claims and they have evidences) lakini miaka ya sasa imekuwa too public lakini diluted.
kwanza kabisa ningependa uandae uzi kuhusiana na hizo wavelength na frequencies na pia ningependa kujua tofauti ya lucid dreaming na astral projection nasubiri feedbackKaribu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho.
Wanadamu na vitu vyote vilivyo hapa duniani ni Energy. Tunaweza kusema kuwa ni vibration. Na katika kwa mfumo wa consciousness hapa duniani tupo katika wavelength 7.23cm. Ndio maana unaweza ukaona kitu au ukagusa kitu kilicho kwenye mfumo huo. Hii ni namna ya vitu vinavyoishi hapa duniani. Milio ya sauti tofauti tofauti ni frequency flani. Sitaki nipoteze mda mrefu kuonglelea hilo jambo kwa kuwa ni utangulizi tu wa kitu ambacho ninataka kuongelea.
Mambo ya kiroho na science zilikuwa ziko mbali sana. Lakini kadri siku zinavyozidi kwenda sayansi na Mambo ya kiroho vinakuja pamoja. Lengo kubwa ni kuwafumbua macho watu na wajitambue wao kuwa ni akina nani.
Mambo ya kiroho yalipotoshwa kwa kiasi fulani na dini. Na kuwafanya watu wawe waoga.
Lucid Dreaming: Ni namna ya kuota ndoto ukiwa akili yako ipo active. Hii ni hatua muhimu sana kwa safari ya kiroho. Ni wakati mtu anaota ndoto na anakuwa katika hali ya kujifahamu. Na akili yake inakuwa ipo active na anaweza akaelezea ndoto yote. Inakuwa ni vigumu kutenganisha uotaji na kutokuota.
Kuna tofauti ipo kiasi fulani wakati unaota na wakati huoti ili kujihakikishia kuwa unaota au la. Kama unaota ukianza kuhesabu vidole vya mikono utaona vidole vipo tofauti. Basi ujue kuwa upo kwenye doto. Na katika hali hiyo utakuwa na uwezo mkubwa maana unaweza ukafanya vitu vikubwa. Unaweza ukafanya chochote kinachokuja kwenye akili yako.
Lucid Dreaming husaidia sana kutibu magonjwa ya kisaikologia. Watu wanaoota ndoto za ajabu inawasaidia mno. Pia husaidia wakati mtu anajiandaa na kitu flani. Anafanya mazoezi ya hicho kitu kwenye ndoto. Mfano: unajiandaa kufanya presentation tayari unaifanya kwenye Lucid Dream kiasi kwamba unafanya na unaweza ukawa unajibu maswali kwa yule anaye kuuliza.
Kunahatua muhimu ya kuweza kuanza kujifunza Lucid Dreaming. Nazo ni za kawaida sana:
Kwanza ukumbuke ndoto ya kawaida ukiamuka unakuwa umeisahau. Lakini hii inakuwa na uhalisia maana akili yako inafanya kazi.
Kwa wale wanao anza kabisa ni kwamba: Neda kwenye kitanda kulala na kisha weka alamu yako ya simu baada ya masaa manne ikuamshe. Baada ya kuamka subiri mda wa dakika kama 10 hivi. Kisha nenda tena kitandani kulala. Tulia tu pale kitandani, kisha utaanza kuhisi mwili wako unakufa ganzi. wewe tulia tu baada ya mda utaanza kuingia kwenye Lucid Dreaming.
Jaribu utanipa jibu.