Lucy kibaki

Lucy kibaki

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Huyu ndo Lucy Kibaki bana, ni zaidi ya Kiongozi wa nchi na ana nguvu za ajabu kuliko Mhe Rais , na anaweza kukemea kiongozi wa Serikali na mtu yeyote yule nchini Kenya:






 
Last edited by a moderator:
Rais wa Kenya.. Mwai Kibaki ni kivuli tu
Aisee huyu mama kiboko. Nilishuhudia press conference ya kibaki anakanusha kuwa hana mke mwingine. Akawa anajiumauma. Mana akanyanganya mike na akawaambia kwa ukali mapaparazi kuwa "if your president does not sue you Me and my family will sue you" alikuwa anawaambia kwa kufoka na pres......kanyamaza kimya anaona angesema angepigwa kibao.
 
Nyie si mnasemaga kwenye mafanikio ya kila mwanaume kuna mwanamke nyuma yake. Sasa mnashangaa nini kwa Mama huyu?
 
Nyie si mnasemaga kwenye mafanikio ya kila mwanaume kuna mwanamke nyuma yake. Sasa mnashangaa nini kwa Mama huyu?

Kwa huyu kidogo ni tofauti; ieleweke kuna Mwanamke imara mbele yake!
 
Back
Top Bottom