Mimi sifahamu ya mke wa mzungu kumbe title imeota mbawa.Kaugua tetekuwanga siku za karibuni nini?
Huyu sasa ana impact gani katika jamii? Inaonekana aliyeandika uzi ana bifu binafsi
Yuko kwenye chama cha wake wa wazungu.Huyu sasa ana impact gani katika jamii? Inaonekana aliyeandika uzi ana bifu binafsi
Nyie huwa hamuachi eeeh?Mademu wa Kibongo wanaona sifa sana kuliwa na Wazungu
Hivi hapo huyo Mngoni kageuzwa geuzwa na mzungu kachokwa then kutupiliwa mbali
Mzungu akikupata katika mazingira ya "Kuuza uza" mbunye atakuheshimu kwa muda tu,akikukinai anaku-damp tu
Hivi hapo huyo dada wa Kingoni atakuwa kaliwa "Mfalanyaki" yake mpaka basi
Jamani dada zetu hawa wazungu watu wa hovyo sana
OkYuko kwenye chama cha wake wa wazungu.