Ahahaa ahahh kweli wewe msukuma original eti mara agonoke aahah ahaha mayoo
Ahahaha binamu we kiboko duh, wazungu wengi ni wafiraji na wafirwaji, so bibie aandae tigo hyo,mhh na alivyokuwa mweusi uko nyuma si ndo itakuwa balaa? Khaa nae huyo mzungu ana moyo, au atakuwa na agenda ya siri sio bure
Ahahaha binamu we kiboko duh, wazungu wengi ni wafiraji na wafirwaji, so bibie aandae tigo hyo,mhh na alivyokuwa mweusi uko nyuma si ndo itakuwa balaa? Khaa nae huyo mzungu ana moyo, au atakuwa na agenda ya siri sio bure
Lol!!! Shosti umenigusa ndipo, huyo Sunday alipo kua anakaa ni vi chochoroni humo sema ndio na yeye alikua Dubai, baada ya kupata pesa alizo wadhulumu wa Oman kwenye biashara ya Sembe ndio waka mchoma Yuko huko ananyiaa ndoo wala dalili Hana, huyo bi dada alikuja akaanza kuigawa Kama pipi na ma best zake huyo bwana Sunday walipo mchoka akawa Hana soko tena ndio karudi...
Lucy komba upite Huku JF kuna barua yako kutoka peramihoMwenzio anataka uarai kabisa yani awe na passport ya denmark kama raia wa uko, anaogopa muzungu atamtekeleza bongo, sasa unaolewa na mwanaume ambaye humwamini ili iweje? Apo no love na huo urai atausikia tuu pumbafu et denmark , dnmak my foot, kwenu kimbiji unajifanya kutaka kulilia nchi za watu
Yani ange zaa japo na huyo mzungu huyo mtoto akapata copy manake Lucy na huyo mzungu anaonekana Kama house maid.. Na tigo ataitoa mpaka azae Kwa cesarian...
break ya kwanza angezaa kwanza kujihakikishia makao na ulaji wa maisha yote ndipo mengine yaendelee. ILA mzungu akiwa hataki kuzaa hataki tu. Ukute mume ndio amesema mtoto badae bi dada anajishaua tu kujihami
break ya kwanza angezaa kwanza kujihakikishia makao na ulaji wa maisha yote ndipo mengine yaendelee. ILA mzungu akiwa hataki kuzaa hataki tu. Ukute mume ndio amesema mtoto badae bi dada anajishaua tu kujihami
wao hata 4 some (mbwa inclusive) kwao mbona kawaida tu
Lucy nae kha!! Hata fungate haijaisha anadai uraia mmh, usikute hiyo ndoa ni fake tu ili apate uraia, maana mzungu mwenyew anaonekana tapel, kajisemea mbuta nanga, lucy ni kama housegirl kwenye movie aliyepata bahat ya kuolewa na mzungu dah
Lucy umeolewa Mipango yako na mumeo yaache ndani haituhusu kama umepanga kuzaa baada ya kuwa MDenmark !mbona hukuwa hivyo huko nyuma?
Khaaa!! Ila aunty mwenzangu hata sishangai maana cheusi dawa yule kashajisemeaga zamani ye madanga ndo yanamuweka mujini, mmh na uko usa ndo atafanywa mpaka na mbwa maskini mastaa wa bongo uozo mtupu