LGE2024 Lucy Sabu: Tutafika nyumbani, kijiweni kuitafutia Kura CCM

LGE2024 Lucy Sabu: Tutafika nyumbani, kijiweni kuitafutia Kura CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Siku 7 za kubeba kila kitu zinaendelea kuanzia kwenye mikutano ya hadhara, kampeni ya mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba, kijiwe kwa kijiwe, mtu kwa mtu kuhakikisha kura zote zinaenda Chama cha Mapinduzi siku ya uchaguzi tarehe 24 Novemba, 2024.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mbunge wa Vijana Taifa, Mhe. Lucy Sabu akiambatana na Wajumbe wa Baraza Kuu amefanya kampeni ya nyumba na kwenye vijiwe katika Wilaya ya Meaty kata ya Sakasaka akiwaomba Wananchi kuchagua wagombea wanaotokana na CCM kwani ndio daraja sahihi kuweza kutatua changamoto zao za kila siku.

 
Kwamba hajui taifa limedumaa,kujaa migawanyiko na kukosa muelekeo na dira kwabsababu ya chama chake?
Kwamba sasa ndipo wakati muafaka kwa kujonadi kutatua kero walizozianzisha wenyewe?
 
Siku 7 za kubeba kila kitu zinaendelea kuanzia kwenye mikutano ya hadhara, kampeni ya mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba, kijiwe kwa kijiwe, mtu kwa mtu kuhakikisha kura zote zinaenda Chama cha Mapinduzi siku ya uchaguzi tarehe 24 Novemba, 2024.

Mbunge wa Vijana Taifa, Mhe. Lucy Sabu akiambatana na Wajumbe wa Baraza Kuu amefanya kampeni ya nyumba na kwenye vijiwe katika Wilaya ya Meaty kata ya Sakasaka akiwaomba Wananchi kuchagua wagombea wanaotokana na CCM kwani ndio daraja sahihi kuweza kutatua changamoto zao za kila siku.
Angefanya hivyo wa chama kile kingine wangeshamteka
 
Kwamba hajui taifa limedumaa,kujaa migawanyiko na kukosa muelekeo na dira kwabsababu ya chama chake?
Kwamba sasa ndipo wakati muafaka kwa kujonadi kutatua kero walizozianzisha wenyewe?
acha upotoshaji gentleman,
chadema ndiyo imegawanyika vipande vipande 🐒
 
Back
Top Bottom