Lugha gongana/kuchapia

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
fire extinguisher, wengi hutamka faya tingisha
kubeep- kudipu
genuine-jiniani
 
Tatizo kiswahili hakijitoshekezi
 
wabongo tumeiga mfano WIRE _ WAYA hivi neno wire kwa kiswahili fasaha linaitwaje?
 
wabongo tumeiga mfano WIRE _ WAYA hivi neno wire kwa kiswahili fasaha linaitwaje?

hilo limetoholewa toka lugha ya kiingereza yapo mengi kama baiskeli-bicycle, spoko-spoke, rejeta-radiator, feni-fan, siti-seat, indiketa-indicator, virusi-virus, nk nk
 
Ofcoz anaechanganya kiingereza na kiswahili huyo ni uneducated yaani msomi.
 
jana nilimsindikiza my wi kwenye chicken part ya jirani
 
issue-inshu
Indicator-endiketa
Radiator-rejeta

Tooch..KULUNZI...DECORDER..KINGAMUZI..HIYO NILUGHA YA WATU ANGECHAPIA KISWAHILI NDIO UNGESEMA HAYO TUSIFAGILIE LUGHA ZA WATU MBONA WAO WANAKOSEA ..UJAMBO.. WANASEMA JAMBOO..NK..
 
barabara ya morogoro road
maporomoko ya pangani falls
 
Tatizo kiswahili hakijitoshekezi
Kisipojitosheleza kinaazima kama lugha zingine. Lugha zote ukuwa hivyo. Kiingereza kimeazima maneno mengi kutoka Kilatini, Kifaransa na Kiarabu. Kwa mfano neno algebra katika hisababiti ni neno la Kiarabu. Wajapani wanasema Wandafuru wakiwa na maana ya wonderful. Muda unavyokwenda hayo maneno yanayoaazimwa yatakubalika kuwa ni maneno ya Kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…