Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 24
For many years watu wengi sasa wanaongezeka kuongea English!
Ni wazo zuri makyao. Lakini nani atakubali kuacha lugha yake akumbatie ya mwenzie?
Pia ingekuwa vema ukitoa mapendekezo ya namna ya kuanzisha hiyo lugha na namna ya kumfikishia kila binadamu wa kila sehemu. Mfano, tukichukua kichagga kiwe lugha hiyo, tunaanzia wapi?
Hili lilishajaribiwa na lugha ya Esperanto ambayo ilishindwa vibaya sana, it is not practical at all.Ukitaka kujifunza how impractical this is study the fall of Esperanto.
....... Kwanza hakuna dokezo ya kwamba dunia inaelekea kuwa na lugha moja ....................................
........................................... Ila tu: tusishangae watoto wetu watajifunza Kichina nadhani
Nawaza kuwa ingekuwa vema kukawa na lugha moja ambayo itakuwa ndiyo Lugha rasmi ya ulimwengu wote.
Kuwepo kwa Lugha moja rasmi ya ulimwengu, kungeleta faida zifuatazo:-
Kurahisisha mawasiliano.
Kujenga umoja wa kimataifa.
Kufanikisha ueneaji wa tekinolojia ulimwenguni.
Kupunguza dhana ya ukabila na ubaguzi wa kimataifa.
... kwa maoni yangu naona itakuwa ngumu.... chukulia mfano wafaransa walivyo na kiburi na lugha yao.QUOTE]
WOMENOFSUB,
Kusema itakuwa ngumu haimaanishi haiwezekani.
Pia nataka hii huu mtindo wa LUGHA YAO, tuumalize
... kwa maoni yangu naona itakuwa ngumu.... chukulia mfano wafaransa walivyo na kiburi na lugha yao.QUOTE]
WOMENOFSUB,
Kusema itakuwa ngumu haimaanishi haiwezekani.
Pia nataka hii huu mtindo wa LUGHA YAO, tuumalize
Mkuu..kuwa ngumu nina maanisha kuwa na changamoto..inawezakana though..changamoto mojawapo ndo hiyo ya ku resist.
Mkuu..kuwa ngumu nina maanisha kuwa na changamoto..inawezakana though..changamoto mojawapo ndo hiyo ya ku resist.
Quote:
... kwa maoni yangu naona itakuwa ngumu.... chukulia mfano wafaransa walivyo na kiburi na lugha yao.QUOTE]
WOMENOFSUB,
Kusema itakuwa ngumu haimaanishi haiwezekani.
Pia nataka hii huu mtindo wa LUGHA YAO, tuumalize
__________________
"It's far better to tell the truth and be rejected, than to hold
it back and be accepted"
MFANO WAKE NI KUWA MTU HAONEKANI KUWA NI MSOMI HADI ASEME KINGEREZA MIMI NADHANI UKOLONI UNATUSUMBUA KABLA YA KUCHAGUA HIYO LUGHA MNAYODAI ITUMIKE DUNIA NZIMA.
Nawaza kuwa ingekuwa vema kukawa na lugha moja ambayo itakuwa ndiyo Lugha rasmi ya ulimwengu wote.
Kuwepo kwa Lugha moja rasmi ya ulimwengu, kungeleta faida zifuatazo:-
Kurahisisha mawasiliano.
Kujenga umoja wa kimataifa.
Kufanikisha ueneaji wa tekinolojia ulimwenguni.
Kupunguza dhana ya ukabila na ubaguzi wa kimataifa.
Nawaza kuwa ingekuwa vema kukawa na lugha moja ambayo itakuwa ndiyo Lugha rasmi ya ulimwengu wote.
Kuwepo kwa Lugha moja rasmi ya ulimwengu, kungeleta faida zifuatazo:-
Kurahisisha mawasiliano.
Kujenga umoja wa kimataifa.
Kufanikisha ueneaji wa tekinolojia ulimwenguni.
Kupunguza dhana ya ukabila na ubaguzi wa kimataifa.
WomenofSubstanc
Mkuu.......................inawezakana though..changamoto mojawapo ndo hiyo ya ku resist.