Lugha na maandishi ya vijana wa leo

Lugha na maandishi ya vijana wa leo

Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
892
Reaction score
683
Taabu kidogo kwa Vijana wa leo Lugha na maandishi yalivyo unaweza pata shida kumuelewa haswa nini kakikusudia kubandika,

Unaweza pata rafiki tena akawa yupo chuo kikuu kabisa kabisa akawa anaandika hivi

Dhana kubwa ya haya maandishi ni nini ?? Uvivu wa kuandika neno lililokamilika???pengine ni maandishi mapya au tatizo ni nini??

Mfano=
Sasa=xoxo
I love you= I lv u
So = s
Kesho=kexho
Dear=d
School=skul


Na mengine Mengi sijui shida wapi kwenye Lugha zetu 😄😄😄😄
 
Sio kila sehem unaweza andika hiv

[emoji375][emoji375]
 
Taabu kidogo kwa Vijana wa leo Lugha na maandishi yalivyo unaweza pata shida kumuelewa haswa nini kakikusudia kubandika,

Unaweza pata rafiki tena akawa yupo chuo kikuu kabisa kabisa akawa anaandika hivi

Dhana kubwa ya haya maandishi ni nini ?? Uvivu wa kuandika neno lililokamilika???pengine ni maandishi mapya au tatizo ni nini??

Mfano=
Sasa=xoxo
I love you= I lv u
So = s
Kesho=kexho
Dear=d
School=skul


Na mengine Mengi sijui shida wapi kwenye Lugha zetu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Uandishi wa aina hii unaudhi
Bila kusahau wale wanaotumia "l" badala ya "r" au "r" badala ya "l"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"nje ya box"

Nisamehe lengo lako hasa sijalijua hunataka kuanzisha tusheni au wewe nbantu kutoka congo
 
Wewe acha tu mzee wetu.

Mimi ni kijana mbichi ila hivi vijineno vinanikera sana
 
Taabu kidogo kwa Vijana wa leo Lugha na maandishi yalivyo unaweza pata shida kumuelewa haswa nini kakikusudia kubandika,

Unaweza pata rafiki tena akawa yupo chuo kikuu kabisa kabisa akawa anaandika hivi

Dhana kubwa ya haya maandishi ni nini ?? Uvivu wa kuandika neno lililokamilika???pengine ni maandishi mapya au tatizo ni nini??

Mfano=
Sasa=xoxo
I love you= I lv u
So = s
Kesho=kexho
Dear=d
School=skul


Na mengine Mengi sijui shida wapi kwenye Lugha zetu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Usiwalaumu vijana. Hii lugha inakubalika kati ya watu wa rika moja na hasa vijana na inafundishwa hata shuleni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na waandishi wengi ni wanafunzi/wasomi wa vyuo vikuu,. hili linanitatiza...mimi kama mpenzi wa lugha yangu hii adhimu nachukia mnooo uandishi wa namna hii...ni uvivu tuu na kujitia ujinga.
 
Usiwalaumu vijana. Hii lugha inakubalika kati ya watu wa rika moja na hasa vijana na inafundishwa hata shuleni

Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu kama inakubalika kwa rika lao, kama ndio hivyo anapomuandikia mtu wa nje ya rika lake atumie maneno sahihi. Hilo la kufundishwa shuleni nalisikia kwako,labda mimi nilisoma zamani.
 
Back
Top Bottom