Lugha ya kibiashara ni nini?

Lugha ya kibiashara ni nini?

Lugha ya kibiashara ni pale Ronaldo anaposema ilikuwa ni ndoto yake kucheza Juventus😛😛😛.
Hii ndo lugha ya kibiashara ndugu zangu.
Wachezaji wengi husema hivo kila wanapofika timu mpya ni kama wachezaji wa soka Tanzania, kila mechi inapoisha ukimpa Mic atoe maoni yake ataanza na: KWANZA NASHUKURU MUNGU.... kanakwamba hii salutation haiwezi kunenwa moyoni!
 
KWANZA NASHUKURU MUNGU.... kanakwamba hii salutation haiwezi kunenwa moyoni!
Dah! Kumbe nawewe umeliona hili? Si wachezaji si makocha akipewa mic lazima waanze hivyo najiulizaga kama kweli ni watu wa imani kwanini wasitamke kimoyomoyo? Ni kama kile kibwagizo cha "mpira una matokeo matatu" kinavyorudiwa rudiwa na kila aliyepoteza mechi
 
Dah! Kumbe nawewe umeliona hili? Si wachezaji si makocha akipewa mic lazima waanze hivyo najiulizaga kama kweli ni watu wa imani kwanini wasitamke kimoyomoyo? Ni kama kile kibwagizo cha "mpira una matokeo matatu" kinavyorudiwa rudiwa na kila aliyepoteza mechi
Nanukuu "kinavyorudiwa na kila alie poteza mechi" walioshinda hua hawakumbukag hizi story za "mpira unamatokeo matatu" [emoji23] [emoji23]
 
Lugha ya kibiashara ni pale Ronaldo anaposema ilikuwa ni ndoto yake kucheza Juventus😛😛😛.
Hii ndo lugha ya kibiashara ndugu zangu.
Heading nzuri sana.. Ungetulia ungeweza kutengeneza post moja nzuri sana
 
Back
Top Bottom