Lugha ya kihaya

MUNGU AKUBARIKI KWA KIHAYA
Omukama akubele.

Kwenye Kihaya naona L na R hazizingatiwi na zinatumika interchangeably, na matamshi yake ni yaleyale. Mfano hapo Dr. Diodorus Buberwa na Balozi Mbelwa Kairuki wote majina yao yanaweza tafsiriwa kama 'aliyebarikiwa' ingawa yana R na L.

Wakati huo jina Baraka kwa Kihaya chake ni Mugisha. So utakutana na Mugisha (me) ~ Baraka na Komugisha (ke~mwenye baraka).

Very complicated ila nimejibia uzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…