Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Kiingereza, kifaransa, kiarabu, na kiispania ndio lugha zinazo zungumzwa na watu katika nchi nyingi duniani. Kiingereza karibu makoloni yake yote ndio lugha wanayotumia, hali kadhalika kwa kifaransa hivyo hivyo. Kiispania kinapatikana huko america kusini na kaskazini kwa kiasi kikubwa. Kireno nacho kipo kwenye nchi chache hapa afrika na kule kusini amerika. Kijerumani kipo pale ulaya kwenye nchi ya Austia.
Hoja hapa, nimavyojua nchi za Ureno, Italia na spain watu wake ni walatino. Italy lugha yake inazungumzwa na nchi gani nyingine hapa duniani? Hivi hamna lugha ya kilatino? Au kilatini ndio kispanyola/kireno au kitaliano?
Hoja hapa, nimavyojua nchi za Ureno, Italia na spain watu wake ni walatino. Italy lugha yake inazungumzwa na nchi gani nyingine hapa duniani? Hivi hamna lugha ya kilatino? Au kilatini ndio kispanyola/kireno au kitaliano?