Sijui sana, lakini ninavyojua mimi, kilatino na kiitaliano ni lugha mbili tofauti kabisa. Mpaka kufikia hii leo wanasema kilatin does not exist any more. Ninamaana hakuna watu waliobaki/waliokuwepo mpaka sasa wanaowasiliana kupitia hii. Nimekutan na watu wachahe ambao wanasema walisoma latin in school, lakini hawakufundishwa full grammar kama lugha nyingine, wanasema walionyeshwa few frases tu. Yaani kuna few sentences maarufu sana ndio zinatumika sana.
Lakini kuna lugha nyingi za wazungu zimetoka na na latin languge, ndo maana kwa kiasi kikubwa hawa watu wanasikilizana sana japo si kwa 100%. Kwa mfano mimi ninajua kuongea,kusoma na kuandika español, lakini naweza kusikiliza maongezi ya portuguese au italiano na kuelewa kila kitu,kitakachonishinda ni matamshi tu.
Si español,italiano na portuguese na italiano tu, kuna lugha nyingine kama za Rumania,ex-Yugoslavia, Hungary e.t.c zote ni za karibu sana na latin language. Lakini ukichunguza sana utakutana na latin language hata kwenye kiingereza, kifaransa na lugha nyingine. Sina uhakika na dutch au germany lakini for ure kuna maneno mengi tu ya kilatino.