Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
Tanzania lazima ibadilishe mfumo wake wa ufundishaji kuanzia msingi ili masomo yote yafundishwe kwa Kiingereza isipokuwa Kiswahili kama majirani zetu.
Ni aibu kuwa na watoto ambao hawezi kutunga sentesi rahisi kwa lugha ya Kiingereza, katika rasimu ya Warioba aliona hilo lakini Waswahili wakakataa, leo wanakuja na visera ambavyo sio mapya,ambayo ndani ya miaka 50 wameshindwa kutekeleza,kwani hatukuwa na elimu ya kujitegemea?
Hatukuwa na shule za kilimo na ufundi? Products zao ziko wapi? Hali ya shule hizo je?
Elimu bure ni uongo na hiyo kauli inatumika kisiasa maana Tanzania haina uwezo huo maana tunachangishwa kila kitu umeme,mlinzi na taka taka zote, elimu bure maana yake ni kuwa mchango zaidi.
Ni heri ulipe na michango isiwepo na bure bure hamtaweza.
Ni aibu kuwa na watoto ambao hawezi kutunga sentesi rahisi kwa lugha ya Kiingereza, katika rasimu ya Warioba aliona hilo lakini Waswahili wakakataa, leo wanakuja na visera ambavyo sio mapya,ambayo ndani ya miaka 50 wameshindwa kutekeleza,kwani hatukuwa na elimu ya kujitegemea?
Hatukuwa na shule za kilimo na ufundi? Products zao ziko wapi? Hali ya shule hizo je?
Elimu bure ni uongo na hiyo kauli inatumika kisiasa maana Tanzania haina uwezo huo maana tunachangishwa kila kitu umeme,mlinzi na taka taka zote, elimu bure maana yake ni kuwa mchango zaidi.
Ni heri ulipe na michango isiwepo na bure bure hamtaweza.