Lugha ya malkia bado inanisumbua sana, je nifanyeje nielewe kwa haraka?

KOLOKOLONI

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
2,476
Reaction score
2,371
Ili tatizo bado linanisumbua sana mwenye mbinu ya kuniwezesha kuijua hii lugha kwa haraka naomba anisaidie maana mazingira niliyopo yananilazimisha kutumia hii lugha muda mrefu sana.
 
Ili tatizo bado linanisumbua sana mwenye mbinu ya kuniwezesha kuijua hii lugha kwa haraka naomba anisaidie maana mazingira niliyopo yananilazimisha kutumia hii lugha muda mrefu sana.

Mfate william j. Malecela amekaa marekani 30 yrs anakijua vizuri, atakufundisha
 
Last edited by a moderator:
Soma vitabu sana ili kuongeza misamiati, anza na maneno marahisi na ya kawaida. Usibadili slang!! Ukataka kuongea kama mmarekan .
 
Soma vitabu sana ili kuongeza misamiati, anza na maneno marahisi na ya kawaida. Usibadili slang!! Ukataka kuongea kama mmarekan .

Hahahaaa ...!!! Hilo nalo neno
 
Inategemea level yako!!!!
Unataka kujua kuandika au just kuwasiliana!!!!
Ila hapo kwenye haraka ndio sijui una maanisha nini sababu lugha mpaka usema hii naijua .....!!!!!!
 
Asante kwa mawazo ya kusoma vitabu.
 
Mtafute Rasi Simba au tafuta vitabu vyake utajifunza bila kufundishwa na mtu.
 
even myself i posses the same problem so when you get a good english teacher inform me...
 
ili tatizo bado linanisumbua sana mwenye mbinu ya kuniwezesha kuijua hii lugha kwa haraka naomba anisaidie maana mazingira niliyopo yananilazimisha kutumia hii lugha muda mrefu sana.

british council
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…