NAKAZIADini ni utapeli.
Dini ni kasumba za watuDini ni utapeli.
dini ni stori za vijiweniDini ni kasumba za watu
Huku ulipofikia, Itabidi tukuache tu uende mwenyewe 😎dini ni stori za vijiweni
hakuna mungu
Mpumbavu amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu, je ni mpumbavu ?dini ni stori za vijiweni
hakuna mungu
tutabishana tu bure,Mpumbavu amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu, je ni mpumbavu ?
Ikiwa kuna waongo, basi na wa kweli wapo, ikiwa kuna dini ya uongo basi na dini ya kweli ipo.tutabishana tu bure,
ila uwepo tu wa dini zaidi ya moja unathibitisha hakuna mungu,
Ila uwepo wa utofauti wa rangi za ngozi za miili, urefu, ufupi, nywele na hata macho ya Binadamu na viumbe vingine hai huthibitisha nini?tutabishana tu bure,
ila uwepo tu wa dini zaidi ya moja unathibitisha hakuna mungu,
Ikiwa kuna nuru na giza pia lipo, kwanini akaze fuvu kuwa Mungu na Shetani hawapo?Ikiwa kuna waongo, basi na wa kweli wapo, ikiwa kuna dini ya uongo basi na dini ya kweli ipo.
Kubali tu ipo dini ya kweli sema hujaijua kwa sababu wewe ni mbishi.
Shetani yupo, na Mungu yupo.Ikiwa kuna nuru na giza pia lipo, kwanini akaze fuvu kuwa Mungu na Shetani hawapo?
ndo hoja yangu, dini ya kweli ni ipi?Ikiwa kuna waongo, basi na wa kweli wapo, ikiwa kuna dini ya uongo basi na dini ya kweli ipo.
Kubali tu ipo dini ya kweli sema hujaijua kwa sababu wewe ni mbishi.
biodiversityIla uwepo wa utofauti wa rangi za ngozi za miili, urefu, ufupi, nywele na hata macho ya Binadamu na viumbe vingine hai huthibitisha nini?
Kusema dini ya kweli ni sawa na nkwambie Kwamba kuna rangi ya kijani ambayo ni blue!?Ikiwa kuna waongo, basi na wa kweli wapo, ikiwa kuna dini ya uongo basi na dini ya kweli ipo.
Kubali tu ipo dini ya kweli sema hujaijua kwa sababu wewe ni mbishi.
Andiko hilo unalotumia limetoka wapi!?Shetani yupo, na Mungu yupo.
Ni mpumbavu tu anayesema kuwa hakuna Mungu - Zaburi 14 : 1
Kwenye hoja yako,Ikiwa kuna nuru na giza pia lipo, kwanini akaze fuvu kuwa Mungu na Shetani hawapo?
Usiwe unakimhilia ku comment kabla ya kusoma unachotaka kupinga, andiko lipoAndiko hilo unalotumia limetoka wapi!?
Umetaka kunielewa kwa kadiri ya ulivyofikiria weweUsiwe unakimhilia ku comment kabla ya kusoma unachotaka kupinga, andiko lipo