Wadau wale wanazungumza lugha ya hispania hapa ndio tuongeze maujuzi maujanja tuchat kwa lugha hii tusipoteze dira ili na wale amabao wana uelewa mdogo waendelee kuzoea.
Ushauri
Tufanye yetu humu.
Ili tusisahau lugha hii tuliobahatika kuwa nayooo....