LUGHA YA TAIFA TANZANIA INAZIDI KUPENYE NJE YA TANZANIA

LUGHA YA TAIFA TANZANIA INAZIDI KUPENYE NJE YA TANZANIA

deecarter

Member
Joined
Aug 24, 2019
Posts
23
Reaction score
64
Dah hua nafurahi sana kusikia kunanchi zimeanza kuitumia lugha ya kiswahili kama lugha inayotumika mashuleni au hata kuipitisha kuwa lugha ya taifa kama majirani kenya na kwasasa nchi zote zinazo izunguka tanzania kwenye mipaka yote zinaonge kiswahili sio chini ya 30% wakiongozwa na Kenya ambayo inaongea kiswahili kwa 60% na 15% wanajua kukiongea na kuandika kiswahili Uganda 40% zikifuatiwa na nchi nyingine nyingi zinazo izunguka tanzania

vipi wale mnao tumia kiswahili kujibizana na wenye lugha hamjui hata huo ni ukoloni

hapo vipi wakikuyu nanyinyi pitisheni kijaluo ili nasisi majilani zenu tukiongee
 
Back
Top Bottom