Lugha ni kitu kigumu sn kama huto tuliza akili na kujifunza.
Lugha ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita katka mazingira ya vituo vya biasharavya pwani ambako wafanyabiashara kutoka Uarabuni, Uajemi na Uhindi walikutana na wenyeji Waafrika. Lugha kuu ya kimataifa ya biashara hiyo ilikuwa Kiarabu.
wasemaji wa lugha za Kibantu, waliyapokea maneno mengi hasa ya Kiarabu katika mawasilia yao.
Kwa hiyo msingi wa Kiswahili ni (sarufi) na (msamiati) wa Kibantu pamoja na maneno mengi ya Kiarabu.
pia kuna athira ya lugha mbalimbali kama kiajem,kihindi na kireno.
Kwa karne nyingi iliandikwa kwa herufi za Kiarabu (سواحلي sawaHili au لغة سواحيلية lugha sawaHiliya).
Kwahiyo (swahili)neno la kiarabu