SULEIMAN ABEID
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 390
- 385
LUHAGA MPINA AMSIFU BUNGENI MH. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KASI NZURI YA UJENZI MIRADI YA SGR KIPANDE CHA MWANZA- ISAKA NA MIRADI YA TARURA
"Mhe. Spika na mimi nashukuru sana kwa kunipa nafasi ili niweze kuchangia wizara hii muhimu sana, wizara ambayo inatunza rasilimali za W atanzania.
Na niseme kwanza nampongeza sana Mhe. Rais, Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jinsi anavyoendelea kwamba mpaka sasa hivi hatuna mradi wowote ule ambao unasuasua.
Miradi yetu ya kimkakati yote inaendelea vizuri, Certificate zote zinalipwa kwa wakati kwa hiyo ni pongezi kubwa sana kwa Mheshimiwa Rais wetu lakini zaidi pia kwa kutenga fedha bilioni 372.6 kwa ajili ya kipande cha Isaka- Mwanza cha SGR na kama hiyo haitoshi kwa kutoa fedha bilioni 187 ku support TARURA kupata miradi ambapo kila jimbo limepelekewa Milioni 500 na mimi za jimbo langu nimeshataarifiwa zimeshafika na mipango kule inaendelea vizuri.
*#BUNGENI LUHAGA MPINA# BAJETI WIZARA YA FEDHA 7.6.2021 # PONGEZI KWA MH. SAMIA SULUHU
"Mhe. Spika na mimi nashukuru sana kwa kunipa nafasi ili niweze kuchangia wizara hii muhimu sana, wizara ambayo inatunza rasilimali za W atanzania.
Na niseme kwanza nampongeza sana Mhe. Rais, Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jinsi anavyoendelea kwamba mpaka sasa hivi hatuna mradi wowote ule ambao unasuasua.
Miradi yetu ya kimkakati yote inaendelea vizuri, Certificate zote zinalipwa kwa wakati kwa hiyo ni pongezi kubwa sana kwa Mheshimiwa Rais wetu lakini zaidi pia kwa kutenga fedha bilioni 372.6 kwa ajili ya kipande cha Isaka- Mwanza cha SGR na kama hiyo haitoshi kwa kutoa fedha bilioni 187 ku support TARURA kupata miradi ambapo kila jimbo limepelekewa Milioni 500 na mimi za jimbo langu nimeshataarifiwa zimeshafika na mipango kule inaendelea vizuri.
*#BUNGENI LUHAGA MPINA# BAJETI WIZARA YA FEDHA 7.6.2021 # PONGEZI KWA MH. SAMIA SULUHU