Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia

Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Luhaga Mpina anazingumza na Waandishi wa Habari kuhusu kinachoendelea kati yake na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuhusu hoja ya sukari ambayo ilianzia Bungeni.


======
luhaga-mpinaa-jpg.3017557
Mpina asema wakati wa Mjadala wa kupisha makadirio ya mapato na matumizi aliagizwa na Spika wa Bunge kupeleka ushahidi wa kuwa Bashe amelidanganya Bunge. Mpina anasema alipewa siku muda hadi siku ya leo ya tar, 14/06/2024 na amedai tayari kashapeleka Ushahidi na vielelezo ambapo kwa kifupi anaeleza kuwa~~~~

Anasema Waziri wa kilmo Bashe wakati akichangia hoja ya Waziri wa Fedha alisema uongo mara 18, kama ilivyoanishwa kwenye ushahidi na vilelezo alivyokabidhi ofisi ya Spika, anadai, Maelezo ya Waziri mwaka jana 2023/2024 kwamba nchi hii mwaka jana kulikuwa na gape sugar ya tani 60000, walimpa Kagera Sugar, walimpa Bagamoyo, walimpa Mtibwa na Walimpa TBC na hakuna aliyeingiza hata kilo moja huo ni uongo.

Uongo wa Waziri uko katika maeneo yafuatayo, Gape sugar iliyoingizwa nchini ilikuwa ni tani 30000 na si tani 60000 kama Waziri alivyoliambia bunge.

Viwanda vya uzalisha vya sukari nchini hawakuleta hata tani moja pamoja na kuwapa kibali katika mwaka huo 2022/2023 kama alivyosema Bashe, Mpina amedai wazalishaji nchini pamoja na wafanya biashara waliingiza tani 6801 na hivyo si kweli kwamba hakuna hata tani moja iliyoingizwa nchini, Anadai ripoti ya CAG imeeleza kuwa tani hizo ziliingizwa nchini, hivyo waziri Bashe alilidanganya bunge.

Mpina anadai wenye viwanda walipewa vibali vya kuingiza Tani 2500 kila mmoja ambapo ni sawa na tani 12,500 ambapo vibali vyake vilitoka 3/ 5/2023 na kuishia 30/6/2023, vilikuwa vibali vya mezi mmoja tu na kitu, hivyo badala ya kuwalaumu waagiza wa sukari na wazalishaji wa sukari wa ndani kutoleta hata tani moja wakati vibali vyao vilikuwa vya muda wa mwezi mmoja tu. na Juni huwa wanaanza uzalishaji wasingeweza kwa kuwa vibali vilicheleweshwa na hivyo kuema hawakuingiza sukari ni uongo hata tani moja ni uongo.

Anadai Waziri Bashe alisema kuwa wameenda kubadili kanuni za National Food Reserve Agency kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuagiza sukari hayo maelezo ni ya uongo hadi sasa hakuna GN yoyote ya Serikali inayoonesha kutungwa kwa kanuni mpya kuruhusu shirika hilo kuagiza na kusambaza na kuuza sukari hapa nchini.

Mpina anadai Waziri analalamika waliwapatia waagizaji walete nchini tani 50000, na hawakuleta hata tani moja ya sukari kufikia Mwezi Februari, kwa mwaka 2023/2024, tuna viwanda 5 na kila kimoja kilipewa kibali cha tani 10,000 kuingiza sukari tani 50000. Si sahihi kulaumu kutokuingiza sukari kufikia mwezi Feb. wakati Waziri anajua Vibali vilitolewa na bodi ya sukari tar 4 hadi tar 8 Januari 2024, hivyo isingewezekana ndani ya wiki 2 kuwa wameingiza sukari kwani inahitaji siku 60 hadi 90 na hivyo isingewezekana ndani ya mwezi 1.

Hata hivyo hadi kufikia tarehe 31 Mei 2024 jumla ya tani 49,884 zimeshaingizwa nchini na wazalishaji sukari kutokana na vibali vya kuingiza tani 50,000 walivyopewa mwezi Januari 2024 ambapo sukari hiyo imesambazwa sehemu mbalimbali nchini.

----
Hayo ni sehemu ya hoja aliyozungumza Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina alipokutana na wanahabari jijini Dodoma leo, Ijumaa Juni 14.2024 ambapo ametumia jukwaa hilo kufafanua hoja alizodai kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge wakati akichangia hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha Bungeni hivi karibuni.

Pia soma:
 

Attachments

Ujambazi nchi hii umeshindikana.

Matajiri wengi ni wezi.

Mpina ana hizi taarifa halafu eti Raisi wa nchi hana!!!

Mpina bila shaka ana watu nyuma yake na ndio waliomuwezresha kuaanda hii ripoti. Hajakurupuka.

Bashe na Mwigulu wajiuzulu ingawa huu si utamaduni wa CCM,

Hapa Bunge liunde kamati teule kuchunguza hii kashifa na Mpina awe mjumbe.
 
Luhaga Mpina emetoa ushahidi wa uongo wa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kuhusua kuagiza Sukari na kuweka vielelezo.

Ushahidi wote wa Luhaga Mpina huu hapa 👇
---
"Maelezo ya Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kwamba mwaka jana (2022/2023) nchi hii ilikuwa na gap sugar ya tani 60,000 walimpa Kagera sugar, walimpa Mtibwa, walimpa Bagamoyo, walimpa TPC hakuna aliyeagiza hata kilo 1, hii sio kweli (Waziri Bashe), uongo wa Waziri uko katika maeneo yafuatayo; gap sugar iliyoidhinishwa kwa msimu wa mwaka 2022/2023 ni tani 30,000 tu na si tani 60,000 kama alivyosema Waziri wa Kilimo, na katika eneo hilo nimemuomba Mheshimiwa Spika arejee barua ya Bodi ya Sukari Tanzania yenye Kumb.Ref.No.SBT/DGO/26-38 ya tarehe 29 Machi 2023 iliyoandikwa na Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari Prof. Bengesi kwenda kwa Katibu mtendaji wa TCS SADC" -Mpina

Viwanda vya wazalishaji wa sukari nchini na wafanyabishara waliingiza nchini tani 6,801 na hivyo si kweli kwamba hakuna kilo hata moja iliyoingia mwaka 2022/2023 kama alivyosema Waziri wa Kilimo, na katika eneo hilo nimemuomba Mheshimiwa Spika arejee ripoti ya CAG (mashirika ya umma) ya mwaka 2022/2023 ukurasa wa 174" -Mpina

My Take
Spika hatarudia tena Kumgusa Mpina maana atawaumbua wengi na kuiumbua Serikali.

Bado Mzee wa Trat na Trab
 
Luhaga Mpina anazingumza na Waandishi wa Habari kuhusu kinachoendelea kati yake na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuhusu hoja ya sukari ambayo ilianzia Bungeni.


======
Mpina asema wakati wa Mjadala wa kupisha makadirio ya mapato na matumizi aliagizwa na Spika wa Bunge kupeleka ushahidi wa kuwa Bashe amelidanganya Bunge. Mpina anasema alipewa siku muda hadi siku ya leo ya tar, 14/06/2024 na amedai tayari kashapeleka Ushahidi na vielelezo ambapo kwa kifupi anaeleza kuwa~~~~

Anasema Waziri wa kilmo Bashe wakati akichangia hoja ya Waziri wa Fedha alisema uongo mara 18, kama ilivyoanishwa kwenye ushahidi na vilelezo alivyokabidhi ofisi ya Spika, anadai, Maelezo ya Waziri mwaka jana 2023/2024 kwamba nchi hii mwaka jana kulikuwa na gape sugar ya tani 60000, walimpa Kagera Sugar, walimpa Bagamoyo, walimpa Mtibwa na Walimpa TBC na hakuna aliyeingiza hata kilo moja huo ni uongo.

Uongo wa Waziri uko katika maeneo yafuatayo, Gape sugar iliyoingizwa nchini ilikuwa ni tani 30000 na si tani 60000 kama Waziri alivyoliambia bunge.

Viwanda vya uzalisha vya sukari nchini hawakuleta hata tani moja pamoja na kuwapa kibali katika mwaka huo 2022/2023 kama alivyosema Bashe, Mpina amedai wazalishaji nchini pamoja na wafanya biashara waliingiza tani 6801 na hivyo si kweli kwamba hakuna hata tani moja iliyoingizwa nchini, Anadai ripoti ya CAG imeeleza kuwa tani hizo ziliingizwa nchini, hivyo waziri Bashe alilidanganya bunge.

Mpina anadai wenye viwanda walipewa vibali vya kuingiza Tani 2500 kila mmoja ambapo ni sawa na tani 12,500 ambapo vibali vyake vilitoka 3/ 5/2023 na kuishia 30/6/2023, vilikuwa vibali vya mezi mmoja tu na kitu, hivyo badala ya kuwalaumu waagiza wa sukari na wazalishaji wa sukari wa ndani kutoleta hata tani moja wakati vibali vyao vilikuwa vya muda wa mwezi mmoja tu. na Juni huwa wanaanza uzalishaji wasingeweza kwa kuwa vibali vilicheleweshwa na hivyo kuema hawakuingiza sukari ni uongo hata tani moja ni uongo.

Anadai Waziri Bashe alisema kuwa wameenda kubadili kanuni za National Food Reserve Agency kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuagiza sukari hayo maelezo ni ya uongo hadi sasa hakuna GN yoyote ya Serikali inayoonesha kutungwa kwa kanuni mpya kuruhusu shirika hilo kuagiza na kusambaza na kuuza sukari hapa nchini.

Mpina anadai Waziri analalamika waliwapatia waagizaji walete nchini tani 50000, na hawakuleta hata tani moja ya sukari kufikia Mwezi Februari, kwa mwaka 2023/2024, tuna viwanda 5 na kila kimoja kilipewa kibali cha tani 10,000 kuingiza sukari tani 50000. Si sahihi kulaumu kutokuingiza sukari kufikia mwezi Feb. wakati Waziri anajua Vibali vilitolewa na bodi ya sukari tar 4 hadi tar 8 Januari 2024, hivyo isingewezekana ndani ya wiki 2 kuwa wameingiza sukari kwani inahitaji siku 60 hadi 90 na hivyo isingewezekana ndani ya mwezi 1.

Hata hivyo hadi kufikia tarehe 31 Mei 2024 jumla ya tani 49,884 zimeshaingizwa nchini na wazalishaji sukari kutokana na vibali vya kuingiza tani 50,000 walivyopewa mwezi Januari 2024 ambapo sukari hiyo imesambazwa sehemu mbalimbali nchini.

----
Hayo ni sehemu ya hoja aliyozungumza Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina alipokutana na wanahabari jijini Dodoma leo, Ijumaa Juni 14.2024 ambapo ametumia jukwaa hilo kufafanua hoja alizodai kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge wakati akichangia hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha Bungeni hivi karibuni.

Pia soma: Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

Ndio mbunge pekee aliyebaki upande wa wananchi wanyonge wasio na sauti mungu akulinde mpina
 
Mda si mrefu ataitwa chamani kuonywa, uzuri jamaa katembea na reference. Ila kwa jinsi siasa zetu zilizo hovyo na za kutishana, baada ya kudiscuss hoja wataanza kumdiscuss Mpina.
 
Luhaga Mpina anazingumza na Waandishi wa Habari kuhusu kinachoendelea kati yake na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuhusu hoja ya sukari ambayo ilianzia Bungeni.


======
Mpina asema wakati wa Mjadala wa kupisha makadirio ya mapato na matumizi aliagizwa na Spika wa Bunge kupeleka ushahidi wa kuwa Bashe amelidanganya Bunge. Mpina anasema alipewa siku muda hadi siku ya leo ya tar, 14/06/2024 na amedai tayari kashapeleka Ushahidi na vielelezo ambapo kwa kifupi anaeleza kuwa~~~~

Anasema Waziri wa kilmo Bashe wakati akichangia hoja ya Waziri wa Fedha alisema uongo mara 18, kama ilivyoanishwa kwenye ushahidi na vilelezo alivyokabidhi ofisi ya Spika, anadai, Maelezo ya Waziri mwaka jana 2023/2024 kwamba nchi hii mwaka jana kulikuwa na gape sugar ya tani 60000, walimpa Kagera Sugar, walimpa Bagamoyo, walimpa Mtibwa na Walimpa TBC na hakuna aliyeingiza hata kilo moja huo ni uongo.

Uongo wa Waziri uko katika maeneo yafuatayo, Gape sugar iliyoingizwa nchini ilikuwa ni tani 30000 na si tani 60000 kama Waziri alivyoliambia bunge.

Viwanda vya uzalisha vya sukari nchini hawakuleta hata tani moja pamoja na kuwapa kibali katika mwaka huo 2022/2023 kama alivyosema Bashe, Mpina amedai wazalishaji nchini pamoja na wafanya biashara waliingiza tani 6801 na hivyo si kweli kwamba hakuna hata tani moja iliyoingizwa nchini, Anadai ripoti ya CAG imeeleza kuwa tani hizo ziliingizwa nchini, hivyo waziri Bashe alilidanganya bunge.

Mpina anadai wenye viwanda walipewa vibali vya kuingiza Tani 2500 kila mmoja ambapo ni sawa na tani 12,500 ambapo vibali vyake vilitoka 3/ 5/2023 na kuishia 30/6/2023, vilikuwa vibali vya mezi mmoja tu na kitu, hivyo badala ya kuwalaumu waagiza wa sukari na wazalishaji wa sukari wa ndani kutoleta hata tani moja wakati vibali vyao vilikuwa vya muda wa mwezi mmoja tu. na Juni huwa wanaanza uzalishaji wasingeweza kwa kuwa vibali vilicheleweshwa na hivyo kuema hawakuingiza sukari ni uongo hata tani moja ni uongo.

Anadai Waziri Bashe alisema kuwa wameenda kubadili kanuni za National Food Reserve Agency kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuagiza sukari hayo maelezo ni ya uongo hadi sasa hakuna GN yoyote ya Serikali inayoonesha kutungwa kwa kanuni mpya kuruhusu shirika hilo kuagiza na kusambaza na kuuza sukari hapa nchini.

Mpina anadai Waziri analalamika waliwapatia waagizaji walete nchini tani 50000, na hawakuleta hata tani moja ya sukari kufikia Mwezi Februari, kwa mwaka 2023/2024, tuna viwanda 5 na kila kimoja kilipewa kibali cha tani 10,000 kuingiza sukari tani 50000. Si sahihi kulaumu kutokuingiza sukari kufikia mwezi Feb. wakati Waziri anajua Vibali vilitolewa na bodi ya sukari tar 4 hadi tar 8 Januari 2024, hivyo isingewezekana ndani ya wiki 2 kuwa wameingiza sukari kwani inahitaji siku 60 hadi 90 na hivyo isingewezekana ndani ya mwezi 1.

Hata hivyo hadi kufikia tarehe 31 Mei 2024 jumla ya tani 49,884 zimeshaingizwa nchini na wazalishaji sukari kutokana na vibali vya kuingiza tani 50,000 walivyopewa mwezi Januari 2024 ambapo sukari hiyo imesambazwa sehemu mbalimbali nchini.

----
Hayo ni sehemu ya hoja aliyozungumza Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina alipokutana na wanahabari jijini Dodoma leo, Ijumaa Juni 14.2024 ambapo ametumia jukwaa hilo kufafanua hoja alizodai kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge wakati akichangia hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha Bungeni hivi karibuni.

Pia soma: Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

Luhanga Mpina for President 2025 👏👏👏
 
Back
Top Bottom