zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
- Thread starter
-
- #101
Ukabila sababu ufisadi ule ule wa makamba kama ilivyo kwa CCM yote unafanywa na Biteko pia ila hagusiki.Hakuna ukabila mnataka kupotosha wahuni wahed nyie. Wakabila na wadini tunawafahamu sana.
😂😂😂Bora ungeficha upumbavu wako kwa kukaa kimya tuHoja za kutolipwa CSR si waziri ni Biteko? Au Makamba ndio ana majibu? Mfano IPTL haijalipa fedha zetu sasa waziri si Biteko ama?
Makamba akuoe tuUkabila sababu ufisadi ule ule wa makamba kama ilivyo kwa CCM yote unafanywa na Biteko pia ila hagusiki.
Mfano pesa za kuchelewesha mradi mpaka leo hatujalipwa na Biteko kapotezea ila cha ajabu Mpina hamgusi.
Usikute tunabishana na wife wa makambaHuo ufisadi wizara ya Nishati umeanza waziri akiwa nani? Biteko au Makamba?!
- Zile $30 mil kwa ajili ya maintanance waziri alikuwa Makamba.
- Rushwa ya kugawa mitungi ya gas bungeni siku ile hotuba ya bajeti ya wizara ya Nishati ikisomwa, waziri alikuwa Makamba.
Hiyo ni baadhi tu nimekuwekea hapo kukuonesha kwanini Mpina amekomaa na Makamba, sijui kwanini unakuwa mkali Mpina kumtaja Makamba.
Upumbavu ni Biteko kutodai hizo pesa za CSR za 2023 alafu lawama anapewa mtu ambaye hata sio waziri😂😂😂Bora ungeficha upumbavu wako kwa kukaa kimya tu
Habari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.
Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.
Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?
2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?
3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?
Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.
Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65
Hoja gani nijibu? Ni kweli tunapaswa kulipwa CSR na IPTL!! Sasa anayepaswa kudai hizo pesa ni Biteko maana ndio waziri mwenye dhamana na hivyo makamba hahusiki.Wewe ndio unaongozwa na chuki kwa sababu ya kabila lake na pia chuki ulizonazo kwa sababu za kidini. Maandiko yako mengi yanaonyesha mlengo wako. Chuki za kidini zimekutawala kama bibi yako Faiza. Jibu hoja zake kwa ushahidi uliotukuka.
Siyo mitazamo ya waTanzania ni mtazamo wako wewe na unafurahia tunavyopigwa. Sisi tunaokujibu ni Wacongo?Hizô tuhuma za mpina uliziona Wakati wa JPM?
Nyakati za Jpm hapakuwa na mambo ya kifisadi?
Hoja za mpina zinaweza kuwa Sahihi kabisa lakini hoja niliyoitoa Mimi ifuatilie utaelewa nazungumzia nini.
Mitaani Watu ndîo huongea hayo. Mimi nawasilisha Kulingana na mitazamo ya watañzania mitaani.
Mfano Mwingine,
Kûna dhana kuwa Rais akiwa muislam nchi udikteta na ukandamizaji WA Haki za binadamu unakuwa mdogo lakini Akiwa Mkristo kûna viashiria vikubwa vya udikteta. Hiyo tenà utasema ni segregation?
Atadaiwaje Biteko ilhali aliyeharibu yupo? Asitajwe Kwa nn? Hizo staili za kipeana misala hatutaki. Kwa hiyo kama waziri akiharibu asitolewe mpaka amalize tatizo? Kwa mfano jambo lililotokea wakati Nape yupo wizara ya habari kama lilikuwa zuri asitajwe atajwe aliyepo?Hoja gani nijibu? Ni kweli tunapaswa kulipwa CSR na IPTL!! Sasa anayepaswa kudai hizo pesa ni Biteko maana ndio waziri mwenye dhamana na hivyo makamba hahusiki.
Mnaelewa hoja iliyopo mezani?
Kama kipindi cha JPM kilikuwa na ufisadi fanya kama anavyofanya Mpina na vielelezo, siyo maneno matupu.Hizô tuhuma za mpina uliziona Wakati wa JPM?
Nyakati za Jpm hapakuwa na mambo ya kifisadi?
Hoja za mpina zinaweza kuwa Sahihi kabisa lakini hoja niliyoitoa Mimi ifuatilie utaelewa nazungumzia nini.
Mitaani Watu ndîo huongea hayo. Mimi nawasilisha Kulingana na mitazamo ya watañzania mitaani.
Mfano Mwingine,
Kûna dhana kuwa Rais akiwa muislam nchi udikteta na ukandamizaji WA Haki za binadamu unakuwa mdogo lakini Akiwa Mkristo kûna viashiria vikubwa vya udikteta. Hiyo tenà utasema ni segregation?
Kwasababu ya mgalatia siyo ndio kawa poyoyo.Huyo mpinq ni poyoyo tu.
Unataka kusema watu wasidai maendeleo kama maji, barabara, umeme, shule, hospital nk kisa eti kwa vile hivyo vitu havikuwepo toka uhuru na Kwanini wavidai sasaivi, akili yako inamapungufu makubwa sana.Hizô tuhuma za mpina uliziona Wakati wa JPM?
Nyakati za Jpm hapakuwa na mambo ya kifisadi?
Hoja za mpina zinaweza kuwa Sahihi kabisa lakini hoja niliyoitoa Mimi ifuatilie utaelewa nazungumzia nini.
Mitaani Watu ndîo huongea hayo. Mimi nawasilisha Kulingana na mitazamo ya watañzania mitaani.
Mfano Mwingine,
Kûna dhana kuwa Rais akiwa muislam nchi udikteta na ukandamizaji WA Haki za binadamu unakuwa mdogo lakini Akiwa Mkristo kûna viashiria vikubwa vya udikteta. Hiyo tenà utasema ni segregation?
Hakuna kiongozi wa ccm mwenye mapenzi mema na wa TanzaniaHabari za asubuhi wanajukwaa, kumekuwepo na sifa kedekede kwa Mbunge Luhaga Mpina kwa kinachoitwa uzalendo na uchapakazi. Lakini kinyume na wengi humu, sijawahi kukubali aina za siasa za Mpina sababu ni opportunist tu na hana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko.
Hapa chini nimeweka video Mpina akilalamika kuhusu Ufisadi uliopo Wizara ya Nishati na Tanesco lakini cha ajabu lawama zote anamtupia Makamba na Maharage Chande licha ya kwamba kuna waziri mwingine kwa zaidi ya mwaka sasa.
Mfano analalamikia pesa za CSR kutotolewa na huyu mjenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere? Anasema kuna ufisadi, kama waziri ni Biteko kwanini lawama azipeleke kwa January na Chande ilihali hawana mamlaka juu ya hayo tena?
2. Ananalamika hatujalipwa pesa za IPTL zaidi ya Billion 200, ila bado anamlaumu Makamba na chande kwa kutolipwa pesa hizo. Je kwanini asimlaumu Biteko ambaye ni waziri kwa sasa?
3. Analaumu kwa Serikali kutolipwa pesa za ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere. Cha ajabu anamlaumu Makamba kwa kutosimamia pesa hizo zilipwe, je ni kwanini asimlaumu Biteko ambaye ndiye waziri mwenye dhamani ya kudai pesa hizo? Is it fair?
Mambo ni mengi anayaolalamikia kwa sasa ila nilichogundua Mpina anaongozwa na chuki tu na ukabila ndio maana anakwepa kumshambulia Biteko ila anaweka lawama zote kwa mtu ambaye alishaachana na hiyo wizara almost mwaka mzima. Rai yangu ni Mpina kama amejitanabaisha kuwa mzalendo basi asione haya kumlaumu Biteko kama amekosea kuliko kufocus kwa January ambaye alishaacha hiyo wizara kwa mwaka sasa.
Huu unafiki haumsaidii kabisa, kama ambavyo analaumu ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ilihali kipindi cha JPM ripoti ilikua haifanyiwi kazi bungeni ila alikaa kimya sababu alikua ananufaika na maslahi ya serikali.
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24
View: https://youtu.be/deGwIm86FcY?si=rc6xA8rxPydMpb65
Wewe na huyo Mpina mnatofauti gani?Huyo Mpina ni poyoyo tu.
CAG alisema kuna 1.5 Trillion missing, well & good; lakini alitoa evidence ipi kwamba hizo pesa JPM kaweka mfukoni; debate ilienda na kugundua kuwa kulikuwa na private account ambayo ilikuwa legal ikulu Hazina ina-divert matumizi Kwenda kule kwa emergency use.CAG ndiye aliyeibua hiyo hoja