Tetesi: Luhaga Mpina kupewa nafasi iliyoachwa na Lissu kwenye kamati Kuu ya CHADEMA

Tetesi: Luhaga Mpina kupewa nafasi iliyoachwa na Lissu kwenye kamati Kuu ya CHADEMA

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Wakuu hamjamboni nyote...

Nadhani wote mnamfatilia Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa na Kada Kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi, Namna anavyozungumzia uongozi uliopo wa CCM na serikali kwa mtazamo hasi. Kwa namna na minajili hiyo na kwa mfumo wa CCM ni wazi hataweza kukubalika kuendelea na uanachama. Yupo kinyume kabisa na mila na tamaduni za Chama.

Sasa Huku kwetu tumepata taarifa kutoka kwa chanzo cha karibu na Uongozi wa juu wa Chadema kwamba ile nafasi moja aliyotangaza mwenyekiti wa CDM ndugu Tundu Antipas Lissu ya kuiacha wazi kwenye kikao kikubwa kabisa cha maamuzi ndani ya chama (Kamati Kuu) ili kusubiri mu/waenguliwa toka CCM, basi ni ya LUHAGA MPINA. Huyu mtu ameombwa na kukaribishwa CDM kutokana na uthubutu na umahiri wake katika kukosoa na kutoa mitazamo yake juu ya uongozi wa serikali.

Kwa maoni yangu inawezekana hii ikawa ni turufu au mtego kwa CDM katika kuelekea Uchaguzi mkuu. Wawe makini tu.

Mwisho wa siku tunataka siasa safi na uongozi bora kutuletea maendeleo wananchi na kupinga kila aina ya ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma.
 
Siasani kuna mambo
Wakuu hamjamboni nyote...

Nadhani wote mnamfatilia Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa na Kada Kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi, Namna anavyozungumzia uongozi uliopo wa CCM na serikali kwa mtazamo hasi. Kwa namna na minajili hiyo na kwa mfumo wa CCM ni wazi hataweza kukubalika kuendelea na uanachama. Yupo kinyume kabisa na mila na tamaduni za Chama.

Sasa Huku kwetu tumepata taarifa kutoka kwa chanzo cha karibu na Uongozi wa juu wa Chadema kwamba ile nafasi moja aliyotangaza mwenyekiti wa CDM ndugu Tundu Antipas Lissu ya kuiacha wazi kwenye kikao kikubwa kabisa cha maamuzi ndani ya chama (Kamati Kuu) ili kusubiri mu/waenguliwa toka CCM, basi ni ya LUHAGA MPINA. Huyu mtu ameombwa na kukaribishwa CDM kutokana na uthubutu na umahiri wake katika kukosoa na kutoa mitazamo yake juu ya uongozi wa serikali.

Kwa maoni yangu inawezekana hii ikawa ni turufu au mtego kwa CDM katika kuelekea Uchaguzi mkuu. Wawe makini tu.

Mwisho wa siku tunataka siasa safi na uongozi bora kutuletea maendeleo wananchi na kupinga kila aina ya ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma.
 
Luhaga Mpina asiwe kama Martin Luther. Namshauri Abaki CCM na Aendeleze ukosoaji wa ndani.

CDM kuchukua member wa CCM ni kujidhalilisha.
 
Luhaga Mpina asiwe kama Martin Luther. Namshauri Abaki CCM na Aendeleze ukosoaji wa ndani.

CDM kuchukua member wa CCM ni kujidhalilisha.
Kwani CCM ina utaratibu wa kumlea mkosoaji asiyepitia vikao vya chama?
 
Wakuu hamjamboni nyote...

Nadhani wote mnamfatilia Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa na Kada Kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi, Namna anavyozungumzia uongozi uliopo wa CCM na serikali kwa mtazamo hasi. Kwa namna na minajili hiyo na kwa mfumo wa CCM ni wazi hataweza kukubalika kuendelea na uanachama. Yupo kinyume kabisa na mila na tamaduni za Chama.

Sasa Huku kwetu tumepata taarifa kutoka kwa chanzo cha karibu na Uongozi wa juu wa Chadema kwamba ile nafasi moja aliyotangaza mwenyekiti wa CDM ndugu Tundu Antipas Lissu ya kuiacha wazi kwenye kikao kikubwa kabisa cha maamuzi ndani ya chama (Kamati Kuu) ili kusubiri mu/waenguliwa toka CCM, basi ni ya LUHAGA MPINA. Huyu mtu ameombwa na kukaribishwa CDM kutokana na uthubutu na umahiri wake katika kukosoa na kutoa mitazamo yake juu ya uongozi wa serikali.

Kwa maoni yangu inawezekana hii ikawa ni turufu au mtego kwa CDM katika kuelekea Uchaguzi mkuu. Wawe makini tu.

Mwisho wa siku tunataka siasa safi na uongozi bora kutuletea maendeleo wananchi na kupinga kila aina ya ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma.
Kasoro za CCM na Serikali inayoiongoza ameanza kuziona baada ya kutenguliwa Uwaziri, maana hakuthubutu kujiuzulu wakati yumo ndani.

Huyu ni kumu ignore tu ili wasimpe mileage wamsubiri kwenye uteuzi wa wagombea wa Ubuge kupitia CCM wamchinjie baharini.

Na safari hii majina ya wateuliwa wasitoe mapema, wasubiri kama Bado siku 2 tu hivi kama ile Sheria ya kutaka mgombea awe at least na miaka 2 ndani ya chama hai apply kwa wagombea Ubunge.
 
Kasoro za CCM na Serikali inayoiongoza ameanza kuziona baada ya kutenguliwa Uwaziri, maana hakuthubutu kujiuzulu wakati yumo ndani.

Huyu ni kumu ignore tu ili wasimpe mileage wamsubiri kwenye uteuzi wa wagombea wa Ubuge kupitia CCM wamchinjie baharini.

Na safari hii majina ya wateuliwa wasitoe mapema, wasubiri kama Bado siku 2 tu hivi kama ile Sheria ya kutaka mgombea awe at least na miaka 2 ndani ya chama hai apply kwa wagombea Ubunge.
So waweza sema Luhaga Mpina ni mnafki au mzalendo?
 
Wakuu hamjamboni nyote...

Nadhani wote mnamfatilia Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa na Kada Kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi, Namna anavyozungumzia uongozi uliopo wa CCM na serikali kwa mtazamo hasi. Kwa namna na minajili hiyo na kwa mfumo wa CCM ni wazi hataweza kukubalika kuendelea na uanachama. Yupo kinyume kabisa na mila na tamaduni za Chama.

Sasa Huku kwetu tumepata taarifa kutoka kwa chanzo cha karibu na Uongozi wa juu wa Chadema kwamba ile nafasi moja aliyotangaza mwenyekiti wa CDM ndugu Tundu Antipas Lissu ya kuiacha wazi kwenye kikao kikubwa kabisa cha maamuzi ndani ya chama (Kamati Kuu) ili kusubiri mu/waenguliwa toka CCM, basi ni ya LUHAGA MPINA. Huyu mtu ameombwa na kukaribishwa CDM kutokana na uthubutu na umahiri wake katika kukosoa na kutoa mitazamo yake juu ya uongozi wa serikali.

Kwa maoni yangu inawezekana hii ikawa ni turufu au mtego kwa CDM katika kuelekea Uchaguzi mkuu. Wawe makini tu.

Mwisho wa siku tunataka siasa safi na uongozi bora kutuletea maendeleo wananchi na kupinga kila aina ya ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma.
Haitokaa itokee, mpina analijui hili
 
Wakuu hamjamboni nyote...

Nadhani wote mnamfatilia Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa na Kada Kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi, Namna anavyozungumzia uongozi uliopo wa CCM na serikali kwa mtazamo hasi. Kwa namna na minajili hiyo na kwa mfumo wa CCM ni wazi hataweza kukubalika kuendelea na uanachama. Yupo kinyume kabisa na mila na tamaduni za Chama.

Sasa Huku kwetu tumepata taarifa kutoka kwa chanzo cha karibu na Uongozi wa juu wa Chadema kwamba ile nafasi moja aliyotangaza mwenyekiti wa CDM ndugu Tundu Antipas Lissu ya kuiacha wazi kwenye kikao kikubwa kabisa cha maamuzi ndani ya chama (Kamati Kuu) ili kusubiri mu/waenguliwa toka CCM, basi ni ya LUHAGA MPINA. Huyu mtu ameombwa na kukaribishwa CDM kutokana na uthubutu na umahiri wake katika kukosoa na kutoa mitazamo yake juu ya uongozi wa serikali.

Kwa maoni yangu inawezekana hii ikawa ni turufu au mtego kwa CDM katika kuelekea Uchaguzi mkuu. Wawe makini tu.

Mwisho wa siku tunataka siasa safi na uongozi bora kutuletea maendeleo wananchi na kupinga kila aina ya ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma.
Tujikumbushe kidogo waliowahi kubembea
  1. Edward Lowasa
  2. Fredrick Sumaye
 
Kwa mujibu wa Lissu amesema wazi nafasi aliyoiacha wazi sio ya Dr. Slaa, wala sio ya kada kutoka CCM.
 
Back
Top Bottom