Luhaga Mpina mheshimu Rais aliyeko madarakani usimpangie ya kutekeleza, usilazimishe Legacy,utawala siyo sawa na mirathi

Luhaga Mpina mheshimu Rais aliyeko madarakani usimpangie ya kutekeleza, usilazimishe Legacy,utawala siyo sawa na mirathi

Kididimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
4,153
Reaction score
3,800
Wewe ulikuwa Waziri wa Mifugo, ukafanya yako tukakuona. Tuambie uliyemkabidhi ofisi, anafuata yako au anatekeleza yake kwa mujibu wa Katiba?.

Kushinikiza na kutaka ya mtu fulani yaendelezwe ni kumuona aliyeko hana dira na ni kama umemdharau.

Mzee Mwinyi na Hayati Benjamin walilelewa na Hayati Mwl. Nyerere, lakini waliibadili Nchi kiuchumi kwa namna walivyoona inafaa.

Na ikawezesha watu kama wewe Mpina kumiliki maeneo na mali kibao huku bado ni Waziri na Mtumishi wa Umma.

Mh. Rais wetu wa sasa Mama Samia aheshimiwe kwa mitizamo yake kama walivyoheshimiwa watangulizi wake.

Tusimshinikize sana kwa hoja dhaifu kama vile ni mchanga katika system za nchi hii.

Pia soma
 
Kama umemsikiliza Vizuri Mama Samia hotuba yake usiandika ujinga huu. Na kama ungesikiliza vizuri hotuba ya Mh Mpina ungeandika haya tuambie ni Wapi Mh Mpina alikompangia Mh Rais cha kufanya zaidi ametoa ushauri wake kama Mbunge kuhusu ukusanyaji wa mapato zaidi amempongeza Mama kwa kushika vizuri kijiti cha uongozi. Huo ndio Uzandiki ambao Mama Samia ameukemea jana.
 
Kama umemsikiliza Vizuri Mama Samia hotuba yake usiandika ujinga huu. Na kama ungesikiliza vizuri hotuba ya Mh Mpina ungeandika haya tuambie ni Wapi Mh Mpina alikompangia Mh Rais cha kufanya zaidi ametoa ushauri wake kama Mbunge kuhusu ukusanyaji wa mapato zaidi amempongeza Mama kwa kushika vizuri kijiti cha uongozi. Huo ndio Uzandiki ambao Mama Samia ameukemea jana.
Mpina,

Ulivyokuwa waziri, ulikuwa unapima samaki kwa kutumia rula?!

Unataka urejeshwe tena huko mifugo na uvuvi, si kwa kuandika huku

Khaaa!
 
Ile taarifa ya Mpina ilikuwa kielelezo cha Ubaguzi na upendeleo aliofanya Magufuli.

Mpina abajisagau kuwa kuna Rais Samia madarakani.
 
Kama umemsikiliza Vizuri Mama Samia hotuba yake usiandika ujinga huu. Na kama ungesikiliza vizuri hotuba ya Mh Mpina ungeandika haya tuambie ni Wapi Mh Mpina alikompangia Mh Rais cha kufanya zaidi ametoa ushauri wake kama Mbunge kuhusu ukusanyaji wa mapato zaidi amempongeza Mama kwa kushika vizuri kijiti cha uongozi. Huo ndio Uzandiki ambao Mama Samia ameukemea
Huyo Mpina ni mpuuzi na ni vema akae kimya yeye ni mazwazwa wenzake ndio wametufikisha hapa tulipo, na ndio maana alinyimwa uwaziri na jiwe
 
Namuunga mikino na miguu Mpina. Tunachoitaji no maendeleo. Magufuli katuonyesha njia yakuyapata maendeleo bila kutegemea misaada kutoka nje.
 
Wewe ulikuwa Waziri wa Mifugo, ukafanya yako tukakuona. Tuambie uliyemkabidhi ofisi, anafuata yako au anatekeleza yake kwa mujibu wa Katiba?.

Kushinikiza na kutaka ya mtu fulani yaendelezwe ni kumuona aliyeko hana dira na ni kama umemdharau.

Mzee Mwinyi na Hayati Benjamin walilelewa na Hayati Mwl. Nyerere, lakini waliibadili Nchi kiuchumi kwa namna walivyoona inafaa.

Na ikawezesha watu kama wewe Mpina kumiliki maeneo na mali kibao huku bado ni Waziri na Mtumishi wa Umma.

Mh. Rais wetu wa sasa Mama Samia aheshimiwe kwa mitizamo yake kama walivyoheshimiwa watangulizi wake.

Tusimshinikize sana kwa hoja dhaifu kama vile ni mchanga katika system za nchi hii.

Pia soma
Luhaga hampangii rais Samia cha kufanya,anatimiza wajibu wake kama Mbunge na jukumu hasa la ubunge inavyotakiwa kufanyika,wewe ndio unampangia Luhaga cha kuongea,kama vijana wenyewe ndio nyie,taifa linaangamia
 
Back
Top Bottom