Luhaga Mpina ni jembe

Luhaga Mpina ni jembe

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Ninakupongeza sana Mhe. Mpina kwa taarifa yako iliyo na ukweli ndani yake na kwa kweli umetufumbua maacho wananchi jinsi tunavyonyonywa na watu wachache wasio waaminifu.

(1) Sukari tunayouziwa wachache wameweka chao cha juu Tshs.1,000 kama alivyotamka Tundu Lissu.

(2) Kampuni za stationery zinapataje kibali cha kuleta sukari nchini.

(3) Kampuni imesajiliwa Zanzibar baada ya mwezi moja inahamia Tanzania Bara na kupewa kibali cha sukari.

(4) Je sukari iliyoletwa ilipata kibali cha TBS au tunalishwa uchafu ambao muda wake ulikwishapita na mengine mengi. Bashe hatakiwi kukaa kwenye nafasi yake baada ya taarifa hii kumfikia mteule wake.

PIA SOMA

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
 
Mh Mpina kawawakilisha wananchi kiuhalisia kupinga matendo maovu ya baadhi ya viongozi wa umma na serikali tena bila uoga wowote pamoja na kutishiwa na mamlaka ya bunge.

Wananchi wanamwunga mkono Mh Mpina kwa ujasiri na weledi katika kuteteta maslahi ya wananchi na taifa bila aibu yoyote.

Mh Mpina akidhurika tu tutarejea na kauli za baadhi ya viongozi waliojitokeza hadharani kutoa maneno ya vitisho dhidi yake.

Hongera sana Mh Mpina usiogope hata kama wakikufukuza kwa kulindana na maovu yao wananchi ndio wataisulubu serikali bila chenga.
 
Mh Mpina kawawakilisha wananchi kiuhalisia kupinga matendo maovu ya abaadhi ya viongozi wa umma na serikali tena bila uoga wowote pamoja na kutishiwa na mamlaka ya bunge...
Huenda Mpina anaweza kuwa sahihi, lakini najaribu kujiuliza endapo Bashe asingechukua hatua za dharula alizochukua na kuagiza sukari hatimaye kuondoa upungufu uliokuwepo hawa wanaomsapoti Mpina wasingemtukana Waziri?

Ni kweli wanaamini wafanyabiashara (wenye viwanda vya sukari) wasingetumia mwanya wa uhaba wa sukari kutuumiza wananchi?

Sioni nia njema yoyote ya Mpina kwa hoja zake hizo
 
Huenda Mpina anaweza kuwa sahihi, lakini najaribu kujiuliza endapo Bashe asingechukua hatua za dharula alizochukua na kuagiza sukari hatimaye kuondoa upungufu uliokuwepo hawa wanaomsapoti Mpina wasingemtukana Waziri?

Ni kweli wanaamini wafanyabiashara (wenye viwanda vya sukari) wasingetumia mwanya wa uhaba wa sukari kutuumiza wananchi?

Sioni nia njema yoyote ya Mpina kwa hoja zake hizo
Umekengeuka, usitetee wanatumia madraka yao vibaya au wazembe kiasi cha kufanyia kazi taarifa kwa viambatanisho visivyo na uhakika.

Hon minister either mishandled or manipulated the sugar crisis for personal advancement; do not side with the government officials who do not bother treading the citizens' rights to achieve their interests unjustifiably.
 
Umekengeuka. usitetee wanatumia madraka yao vibaya au wazembe kiasi cha kufanyia kazi taarifa kwa viambatanisho visivyo na uhakika.

Hon minister either mishandled or manipulated the sugar crisis for personal advancement; do not side with the government officials who do not bother treading the citizens' rights to achieve their interests unjustifiably.
"...manipulated sugar crisis..." mtaani hapakuwa na upungufu wa sukari? Wananchi hawakuona huo upungufu? Waziri alizuia sukari isiletwe mtaani ili kutengeneza hiyo crisis? Kilichosababisha bei ya sukari ni nini kama sukari ilikuwepo?

Bado maswali ni mengi katika hili
 
Upungufu ulitengezwa ili baadaye wapige ma bilioni ya bwerere
Sasa kama upungufu ulitengenezwa, ni nani aliyetengeneza upungufu huo kati ya Waziri na wenye viwanda waliokuwa na jukumu la kuzalisha sukari? Na kama ulitengenezwa na wenye viwanda, Waziri alikosea nini kuagiza sukari ku - rescue situation?
 
Serikali ya Samia ni corrupt zaidi ya zote kuwahi kutokea kwenye historia ya hili taifa, anaongoza nchi hovyo hana maadili, rasilimali zetu anagawa bure kwa wageni, na kodi zetu wanazichezea watakavyo.

Samia ni kiongozi wa hovyo sana.
 
Serikali ya Samia ni corrupt zaidi ya zote kuwahi kutokea kwenye historia ya hili taifa, anaongoza nchi hovyo hana maadili, rasilimali zetu anagawa bure kwa wageni, na kodi zetu wanazichezea watakavyo.

Samia ni kiongozi wa hovyo sana.
Halafu anawaambia ohh nime kulia makuuzi mazuri, kumbe ni jizi tu lipo pale Ikulu maana hizi deal zote ni yeye kina Bashe ni kama ngazi zake za kupandia, alikuja na tamaa kubwa sana ya pesa na ndo ccm ilivyo, kuwaza kuiba mapema.
 
Serikali ya Samia ni corrupt zaidi ya zote kuwahi kutokea kwenye historia ya hili taifa, anaongoza nchi hovyo hana maadili, rasilimali zetu anagawa bure kwa wageni, na kodi zetu wanazichezea watakavyo.

Samia ni kiongozi wa hovyo sana.
Hakika
 
Huenda Mpina anaweza kuwa sahihi, lakini najaribu kujiuliza endapo Bashe asingechukua hatua za dharula alizochukua na kuagiza sukari hatimaye kuondoa upungufu uliokuwepo hawa wanaomsapoti Mpina wasingemtukana Waziri?

Ni kweli wanaamini wafanyabiashara (wenye viwanda vya sukari) wasingetumia mwanya wa uhaba wa sukari kutuumiza wananchi?

Sioni nia njema yoyote ya Mpina kwa hoja zake hizo
Unajua kanuni za uongozi ishu sio kuagiza kwasababu ya uhaba ,angalia uo uhaba ulisababisha na nani na lengo likiwa ni Nini!
 
Ninakupongeza sana Mhe. Mpina kwa taarifa yako iliyo na ukweli ndani yake na kwa kweli umetufumbua maacho wananchi jinsi tunavyonyonywa na watu wachache wasio waaminifu. (1) Sukari tunayouziwa wachache waeweka chao cha juu Tshs.1,000 kama alivyotamka Tundu Lissu. (2) Kampuni za stationery zinapataje kibali cha kuleta sukari nchini. (3) Kampuni imesajiliwa Zanzibar baada ya mwezi moja inahamia Tanzania Bara na kupewa kibali cha sukari. (4) Je sukari iliyoletwa ilipata kibali cha TBS au tunalishwa uchafu ambao muda wake ulikwishapita na mengine mengi. Bashe hatakiwi kukaa kwenye nafasi yake baada ya taarifa hii kumfikia mteule wake.
Mungu atatupigania
 
"...manipulated sugar crisis..." mtaani hapakuwa na upungufu wa sukari? Wananchi hawakuona huo upungufu? Waziri alizuia sukari isiletwe mtaani ili kutengeneza hiyo crisis? Kilichosababisha bei ya sukari ni nini kama sukari ilikuwepo?

Bado maswali ni mengi katika hili
Maswali haya ni mazuri sana. Yanapaswa kujibiwa kabla hatujaingia kwenye uhalali wa uagizwaji wa sukari.

Tatizo hatutaki kujisunbua kuhoji zaidi ya kupokea taarifa.

Je ni kweli viwanda vya sukari hapa au agents wao walikua na sukari wakazuiwa kuuza?
 
Serikali ya Samia ni corrupt zaidi ya zote kuwahi kutokea kwenye historia ya hili taifa, anaongoza nchi hovyo hana maadili, rasilimali zetu anagawa bure kwa wageni, na kodi zetu wanazichezea watakavyo.

Samia ni kiongozi wa hovyo sana.
Ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom