Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu sio kuwa namchukia Mheshimiwa Mpina au napingana na uhuru wa kutoa maoni.
Nimeleta hoja hii ili nipate majibu kutoka kwake kutokana na kauli zinazoikosoa Serikali huku nyingi zikiashiria kuwepo kwa ufisadi ndani ya Serikali ya Rais Samia.
Kwamba ni kweli anakerwa na ufisadi uliopo Serikalini kama anavyodai au anakerwa na mafanikio ya Rais Samia tokea aingie madarakani?
Kwamba Mheshimiwa Mpina hayo maoni anayotoa sasa angalithubu kuyatoa kipindi cha mwendazake?
Kwamba anaona njia anayotumia kutoa kauli zake ipo sahihi kwa mujibu wa kanuni za chama chake?
Niombe Mheshimiwa afunguke hadharani tujue nini hasa kina nachomkera.
Nimalizie kwa kumkumbusha Mheshimiwa Mpina kuwa Samia Suluhu Hassan ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania na mwenyekiti wa CCM Taifa.
Usiku mwema
Ndugu zangu sio kuwa namchukia Mheshimiwa Mpina au napingana na uhuru wa kutoa maoni.
Nimeleta hoja hii ili nipate majibu kutoka kwake kutokana na kauli zinazoikosoa Serikali huku nyingi zikiashiria kuwepo kwa ufisadi ndani ya Serikali ya Rais Samia.
Kwamba ni kweli anakerwa na ufisadi uliopo Serikalini kama anavyodai au anakerwa na mafanikio ya Rais Samia tokea aingie madarakani?
Kwamba Mheshimiwa Mpina hayo maoni anayotoa sasa angalithubu kuyatoa kipindi cha mwendazake?
Kwamba anaona njia anayotumia kutoa kauli zake ipo sahihi kwa mujibu wa kanuni za chama chake?
Niombe Mheshimiwa afunguke hadharani tujue nini hasa kina nachomkera.
Nimalizie kwa kumkumbusha Mheshimiwa Mpina kuwa Samia Suluhu Hassan ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania na mwenyekiti wa CCM Taifa.
Usiku mwema