Katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema mananeo ya Waziri Bashe kuwa "Mfumo wote wa usambazaji ni cartel system, msambazaji mmoja tu yuko Mwanza anahudumia mikoa 11" ni uongo.
Luhaga Mpina akaendelea maelezo hayo hayana ukweli wowote kwakuwa usambazaji na uzalishaji nchini hufanyika kwa misingi ya ushindani na kila liwanda kina wasambazaji wake siyo mmoja kama alivyodai Waziri, kwani Kagera Sugar ina wasambazaji 24 katika wilaya na miko mbalimbali nchini.
Katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema mananeo ya Waziri Bashe kuwa "Mfumo wote wa usambazaji ni cartel system, msambazaji mmoja tu yuko Mwanza anahudumia mikoa 11" ni uongo.
Luhaga Mpina akaendelea maelezo hayo hayana ukweli wowote kwakuwa usambazaji na uzalishaji nchini hufanyika kwa misingi ya ushindani na kila liwanda kina wasambazaji wake siyo mmoja kama alivyodai Waziri, kwani Kagera Sugar ina wasambazaji 24 katika wilaya na miko mbalimbali nchini.
HUSSEIN BASHE akiwa Naibu Waziri wa Kilimo mwaka 2020 walitunga sheria kulinda viwanda vya sukari nchini,Nleo amekuwa Waziri kamili bila aibu na sijui kwa kuwadharau wabunge na watanzania kapeleka mabadiliko ya sheria bungeni ili kesho waipitishe kuruhusu kampuni za stationery, vikampuni vya uchochoroni, vikampuni vya simu za Aitel kwa Mgongo wa Mlezi wake wa Gesi kupewa vibali vya kuagiza sukari, Wabunge wetu hii sheria muitazame kwa makini msikilizeni Mhe Mkenda akiwa Waziri wa Kilimo