Kuna mambo yanaendelea mpaka unashikwa na hasira na kutamani kupiga ukuta ngumi. Sasa Mh mpina kasema waziri kavunja sheria, Tenda zote za Kuagiza sukari nje hazitangazwi kinyume na sheria na taratibu. Wakati akijibu Mh Waziri wa Kilimo akasema ni kweli tenda hazitangazwi. Hivi kwa mlinganisho wa kimatiki unahitaji ushahidi hapa?
Je, tukisema huu ni upigaji wa kimkakati utakataa, Waziri anaijua sheria, anajua taratibu, hajasahau kwani amezungukwa na wakurugenzi na kamati mbalimbali kumkumbusha. Kwa hiyo sula la alipitiwa, amesahau, it was an overlook hakuna, sikubali na sitakuja kuhafiki hiyo sababu.
Kwa usahaulifu wa kimkakati kama huo unatufanya tuwaze tofauti, tuwaze lazima kuna kisahaulishi ndio maana yeye waziri na team yake nzima wakasahau, wakaoverlook very important mandatory procedure, basi wamesahau taratibu zao je wameshahau na procurement act ya tendering of major national procurement?
Je, tukisema na kufikiri hii inampa mamlaka Mh na team yake kuchangua mtu wao, anaweza kuwa Ngosha, Masawe, Mboni, Kimji, Abdalah, Patel.Kumbuka hii ni multinational and multibillion tender na it is a repeated tender , just imagine a guarantee ya tender ya 150 Tsh billions , je 10% yake ni shillingi ngapi? hapa unaongelea mabiilioni zaidi ya kumi na kizuri zaidi it is a repeated tender. How much are they illegally earning per two, three, four tenders?
Ifike mahali tukubali mapungufu ili maisha yaendelee na huo ndio uhungwana. Tunapomuattack mwakilishi wa wananchi kwa kusema ukweli, inamaanisha tunawapa taarifa, onyo, tahadhali na wabunge machachali wengine wote wasithubutu kusema ukweli. Je, hilo litakuwa ni Bunge la wananchi au ni bunge la wala nchi.
Pia Soma Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
Je, tukisema huu ni upigaji wa kimkakati utakataa, Waziri anaijua sheria, anajua taratibu, hajasahau kwani amezungukwa na wakurugenzi na kamati mbalimbali kumkumbusha. Kwa hiyo sula la alipitiwa, amesahau, it was an overlook hakuna, sikubali na sitakuja kuhafiki hiyo sababu.
Kwa usahaulifu wa kimkakati kama huo unatufanya tuwaze tofauti, tuwaze lazima kuna kisahaulishi ndio maana yeye waziri na team yake nzima wakasahau, wakaoverlook very important mandatory procedure, basi wamesahau taratibu zao je wameshahau na procurement act ya tendering of major national procurement?
Je, tukisema na kufikiri hii inampa mamlaka Mh na team yake kuchangua mtu wao, anaweza kuwa Ngosha, Masawe, Mboni, Kimji, Abdalah, Patel.Kumbuka hii ni multinational and multibillion tender na it is a repeated tender , just imagine a guarantee ya tender ya 150 Tsh billions , je 10% yake ni shillingi ngapi? hapa unaongelea mabiilioni zaidi ya kumi na kizuri zaidi it is a repeated tender. How much are they illegally earning per two, three, four tenders?
Ifike mahali tukubali mapungufu ili maisha yaendelee na huo ndio uhungwana. Tunapomuattack mwakilishi wa wananchi kwa kusema ukweli, inamaanisha tunawapa taarifa, onyo, tahadhali na wabunge machachali wengine wote wasithubutu kusema ukweli. Je, hilo litakuwa ni Bunge la wananchi au ni bunge la wala nchi.
Pia Soma Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge