Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania Watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi

Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania Watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi

zanku

Member
Joined
Jun 9, 2020
Posts
70
Reaction score
152
MATENDO NA TABIA za Bwana Luhanga Mpina ni kama mbwa mzee ambaye amejichokea kuishi sasa anatafuta sababu za kufa ndiyo maana anajilaza barabarani kila mara ili magari yamkanyage afe lakini yanamkwepa ndiyo maana haachi kubwekabweka kila dakika.

Luhanga Mpina ni moja ya mawaziri wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye nchi hii na kama siyo utaratibu wa kuoneana haya ndani ya taifa hili basi Luhanga Mpina alitakiwa kuwa jela muda huu anatumikia kifungo kwa jinsi alivyosababisha matatizo makubwa na ukatili mkubwa sana kwa watu wa kanda ya ziwa hasa wavuvi ambao aliwaharibia maisha yao kabisa.

Luhanga Mpina ana shida binafsi sana na mawaziri Mwigulu Nchemba na Hussein Bashe. Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi na watu hawa wawili na zaidi ni kuwa anamshambulia Rais Samia kupitia watu hawa. Lengo lake ni kuishambulia serikali ya na Rais Samia mwenyewe lakini anafanya hayo kupitia mawaziri hawa wawili ambao kila siku yuko nao kuwakandika tuhuma za hovyo zisizo na kichwa wala miguu.

Luhanga Mpina hajaanza leo kumhusisha Mwigulu na madudu mengi tu anayoyasemaga bungeni na kukosa ushahidi. Luhanga Mpina alimhusisha Mwigulu na mambo ya 360 trilioni za makinikia wakati wa Magufuli huku akisahau kuwa aliyekuwa waziri wa fedha ni Dokta Mpango lakini alikuja kujibiwa na Prof Kabudi juu ya porojo zake za 360trilioni za makinikia.

Luhanga Mpina huyu huyu alikuja na porojo za deni la taifa zijui limefanyaje sijui hela zinaibwa hazionekani mara sijui nini. Hivi kweli kuna waziri anaweza kukopa hela na kuziingiza kwenye deni la taifa na Rais wan chi asijue? Au Mpina anamsema Rais Samia kiaina lakini anazunguka njia kwa kumsema Waziri Mwigulu?

Luhanga Mpina akaja na porojo zingine za mambo ya fedha za barabara na SGR nako akakwaa kisiki kwa kuwa waziri wa fedha hahusiki na mambo ya manunuzi na siyo kazi yake kushughulikia manunuzi kwenye miradi ya barabara na SGR. Mambo ya SGR si ni ya Prof Mbarawa au? Mambo ya barabara si ni mambo ya TANROADS na Bashungwa?

Luganga Mpina hakuishia hapo bado akaja na porojo za sukari zilizopelekea kufukuzwa kuhudhuria vikao vya bunge. Mpina alipewa nafasi kujitetea kwenye kamati ambako kilichototea huko ni vichekesho vitupu yaani. Yaani zile mbwembwe zake zote alizokuwa nazo na kutamba bungeni alishindwa kujitetea na kutoa maelezo ndani ya kamati ikimhoji.

Hata hili la sukari ni jambo la waziri wa fedha? Yaani wizara ya fedha au Mwigulu kama waziri anahusikaje na kununua na kuagiza sukari? Yaani majukumu ya kununua sukari au kufanya manunuzi ya sukari yanakuwaje ni ya waziri wa fedha?

Sisi tunajua aliyeko nyuma ya Luhanga Mpina ni nani na tunajua lengo lao ni nini kwa kuwa tuna taarifa za mipango ya Mpina na kundi la akina January Makamba kumshughulikia Bashe na Mwigulu na lengo lilikuwa ni vita vyao vya 2030. Tunajua Mpina ungetamani sana 2030 mfadhili wako kuwashughulikia akina Bashe na Mwigulu awe Rais lakini kwa bahati mbaya sana kavunjwa miguu kabla hata hajaanza kukimbia kuelekea 2030.

Sisi tunafuatilia sana mambo haya na kwa miaka mitatu mfululizo CAG hajawahi kumtaja wala kuigusa wizara ya fedha kwenye lolote kati ya tuhuma hizi unazozisema. Ina maana CAG haoni? Hana macho? Hajui kama kuna makorokoro hayo unayoyasema? Au wewe unajua kuliko CAG? Mbona huongelei madudu yaliyopo nishati? Mbona huongelei madudu yaliyopo TANROADS? Mbona huongelei madudu yaliyopo kwa Prof Mbarawa?

Luhanga Mpina una shida binafsi na Bashe na Mwigulu na unatumika kuliingiza taifa kwenye shida na taharuki kila mara kwa kuwa umekubali kuwa sehemu ya ujinga unaofanywa na akina January Makamba wanaodhani kuwa wanaweza kuanguka na kupotea na wengine hata kama hawana uhusika kwenye mipango yao ya uasi iliyofeli.

Luhanga Mpina huna uwezo wa kulipa mawakili zaidi ya 100 wanaokusimamia kwenye hizo kesi zako . Tunajua kundi hili la mawakili linalipwa na nani na lina lengo lilelile la kuivuruga hii nchi kama yale yanayotokea Kenya. Mamlaka za usalama tunawashauri kuwa makini sana na Wakili Nshala. Tunaturudia tena kuwaambia kuweni makini sana na wakili Nshala Rugemeleza.

Angalizo tu ni kuwa vita unavyopigani ni vigumu sana na huwezi kuvishinda hata ufanyeje kwa kuwa sisi tunajua kuwa target yenu ni kumchafua Rais Samia na kuwaandama Bashe na Mwigulu ni danganya toto tu lakini kwenye hili la sukari tunajua mmemlenga nani na tuna taarifa zenu kwa ukamilifu.
 
Morogoro amechukua shamba la kijiji kizima, wanakijiji hawana mahali pa kulima, analima mpaka kwenye milango yao ya nyumba na vyoo, ukatili wa hali ya juu sana
 
MATENDO NA TABIA za Bwana Luhanga Mpina ni kama mbwa mzee ambaye amejichokea kuishi sasa anatafuta sababu za kufa ndiyo maana anajilaza barabarani kila mara ili magari yamkanyage afe lakini yanamkwepa ndiyo maana haachi kubwekabweka kila dakika.

Luhanga Mpina ni moja ya mawaziri wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye nchi hii na kama siyo utaratibu wa kuoneana haya ndani ya taifa hili basi Luhanga Mpina alitakiwa kuwa jela muda huu anatumikia kifungo kwa jinsi alivyosababisha matatizo makubwa na ukatili mkubwa sana kwa watu wa kanda ya ziwa hasa wavuvi ambao aliwaharibia maisha yao kabisa.

Luhanga Mpina ana shida binafsi sana na mawaziri Mwigulu Nchemba na Hussein Bashe. Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi na watu hawa wawili na zaidi ni kuwa anamshambulia Rais Samia kupitia watu hawa. Lengo lake ni kuishambulia serikali ya na Rais Samia mwenyewe lakini anafanya hayo kupitia mawaziri hawa wawili ambao kila siku yuko nao kuwakandika tuhuma za hovyo zisizo na kichwa wala miguu.

Luhanga Mpina hajaanza leo kumhusisha Mwigulu na madudu mengi tu anayoyasemaga bungeni na kukosa ushahidi. Luhanga Mpina alimhusisha Mwigulu na mambo ya 360 trilioni za makinikia wakati wa Magufuli huku akisahau kuwa aliyekuwa waziri wa fedha ni Dokta Mpango lakini alikuja kujibiwa na Prof Kabudi juu ya porojo zake za 360trilioni za makinikia.

Luhanga Mpina huyu huyu alikuja na porojo za deni la taifa zijui limefanyaje sijui hela zinaibwa hazionekani mara sijui nini. Hivi kweli kuna waziri anaweza kukopa hela na kuziingiza kwenye deni la taifa na Rais wan chi asijue? Au Mpina anamsema Rais Samia kiaina lakini anazunguka njia kwa kumsema Waziri Mwigulu?

Luhanga Mpina akaja na porojo zingine za mambo ya fedha za barabara na SGR nako akakwaa kisiki kwa kuwa waziri wa fedha hahusiki na mambo ya manunuzi na siyo kazi yake kushughulikia manunuzi kwenye miradi ya barabara na SGR. Mambo ya SGR si ni ya Prof Mbarawa au? Mambo ya barabara si ni mambo ya TANROADS na Bashungwa?

Luganga Mpina hakuishia hapo bado akaja na porojo za sukari zilizopelekea kufukuzwa kuhudhuria vikao vya bunge. Mpina alipewa nafasi kujitetea kwenye kamati ambako kilichototea huko ni vichekesho vitupu yaani. Yaani zile mbwembwe zake zote alizokuwa nazo na kutamba bungeni alishindwa kujitetea na kutoa maelezo ndani ya kamati ikimhoji.

Hata hili la sukari ni jambo la waziri wa fedha? Yaani wizara ya fedha au Mwigulu kama waziri anahusikaje na kununua na kuagiza sukari? Yaani majukumu ya kununua sukari au kufanya manunuzi ya sukari yanakuwaje ni ya waziri wa fedha?

Sisi tunajua aliyeko nyuma ya Luhanga Mpina ni nani na tunajua lengo lao ni nini kwa kuwa tuna taarifa za mipango ya Mpina na kundi la akina January Makamba kumshughulikia Bashe na Mwigulu na lengo lilikuwa ni vita vyao vya 2030. Tunajua Mpina ungetamani sana 2030 mfadhili wako kuwashughulikia akina Bashe na Mwigulu awe Rais lakini kwa bahati mbaya sana kavunjwa miguu kabla hata hajaanza kukimbia kuelekea 2030.

Sisi tunafuatilia sana mambo haya na kwa miaka mitatu mfululizo CAG hajawahi kumtaja wala kuigusa wizara ya fedha kwenye lolote kati ya tuhuma hizi unazozisema. Ina maana CAG haoni? Hana macho? Hajui kama kuna makorokoro hayo unayoyasema? Au wewe unajua kuliko CAG? Mbona huongelei madudu yaliyopo nishati? Mbona huongelei madudu yaliyopo TANROADS? Mbona huongelei madudu yaliyopo kwa Prof Mbarawa?

Luhanga Mpina una shida binafsi na Bashe na Mwigulu na unatumika kuliingiza taifa kwenye shida na taharuki kila mara kwa kuwa umekubali kuwa sehemu ya ujinga unaofanywa na akina January Makamba wanaodhani kuwa wanaweza kuanguka na kupotea na wengine hata kama hawana uhusika kwenye mipango yao ya uasi iliyofeli.

Luhanga Mpina huna uwezo wa kulipa mawakili zaidi ya 100 wanaokusimamia kwenye hizo kesi zako . Tunajua kundi hili la mawakili linalipwa na nani na lina lengo lilelile la kuivuruga hii nchi kama yale yanayotokea Kenya. Mamlaka za usalama tunawashauri kuwa makini sana na Wakili Nshala. Tunaturudia tena kuwaambia kuweni makini sana na wakili Nshala Rugemeleza.

Angalizo tu ni kuwa vita unavyopigani ni vigumu sana na huwezi kuvishinda hata ufanyeje kwa kuwa sisi tunajua kuwa target yenu ni kumchafua Rais Samia na kuwaandama Bashe na Mwigulu ni danganya toto tu lakini kwenye hili la sukari tunajua mmemlenga nani na tuna taarifa zenu kwa ukamilifu.
Vipi mumeshamuandalia na yeye sumu mummalize maana sasa hivi huko CCM ni mwendo wa kulambishana sumu tu.
 
Vipi mumeshamuandalia na yeye sumu mummalize maana sasa hivi huko CCM ni mwendo wa kulambishana sumu tu.
Mpina analogwa na mganga wake aliyemsaidia kupata ubunge, kisha Mpina akamdhulumu fedha yake, kwa hiyo mganga anamchapa agombane na kila mtu, akikosa wa kugombana naye, akiona kivuli chake ataanza kukifokea kwa nini kinamfatafata kila mahali
 
MATENDO NA TABIA za Bwana Luhanga Mpina ni kama mbwa mzee ambaye amejichokea kuishi sasa anatafuta sababu za kufa ndiyo maana anajilaza barabarani kila mara ili magari yamkanyage afe lakini yanamkwepa ndiyo maana haachi kubwekabweka kila dakika.

Luhanga Mpina ni moja ya mawaziri wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye nchi hii na kama siyo utaratibu wa kuoneana haya ndani ya taifa hili basi Luhanga Mpina alitakiwa kuwa jela muda huu anatumikia kifungo kwa jinsi alivyosababisha matatizo makubwa na ukatili mkubwa sana kwa watu wa kanda ya ziwa hasa wavuvi ambao aliwaharibia maisha yao kabisa.

Luhanga Mpina ana shida binafsi sana na mawaziri Mwigulu Nchemba na Hussein Bashe. Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi na watu hawa wawili na zaidi ni kuwa anamshambulia Rais Samia kupitia watu hawa. Lengo lake ni kuishambulia serikali ya na Rais Samia mwenyewe lakini anafanya hayo kupitia mawaziri hawa wawili ambao kila siku yuko nao kuwakandika tuhuma za hovyo zisizo na kichwa wala miguu.

Luhanga Mpina hajaanza leo kumhusisha Mwigulu na madudu mengi tu anayoyasemaga bungeni na kukosa ushahidi. Luhanga Mpina alimhusisha Mwigulu na mambo ya 360 trilioni za makinikia wakati wa Magufuli huku akisahau kuwa aliyekuwa waziri wa fedha ni Dokta Mpango lakini alikuja kujibiwa na Prof Kabudi juu ya porojo zake za 360trilioni za makinikia.

Luhanga Mpina huyu huyu alikuja na porojo za deni la taifa zijui limefanyaje sijui hela zinaibwa hazionekani mara sijui nini. Hivi kweli kuna waziri anaweza kukopa hela na kuziingiza kwenye deni la taifa na Rais wan chi asijue? Au Mpina anamsema Rais Samia kiaina lakini anazunguka njia kwa kumsema Waziri Mwigulu?

Luhanga Mpina akaja na porojo zingine za mambo ya fedha za barabara na SGR nako akakwaa kisiki kwa kuwa waziri wa fedha hahusiki na mambo ya manunuzi na siyo kazi yake kushughulikia manunuzi kwenye miradi ya barabara na SGR. Mambo ya SGR si ni ya Prof Mbarawa au? Mambo ya barabara si ni mambo ya TANROADS na Bashungwa?

Luganga Mpina hakuishia hapo bado akaja na porojo za sukari zilizopelekea kufukuzwa kuhudhuria vikao vya bunge. Mpina alipewa nafasi kujitetea kwenye kamati ambako kilichototea huko ni vichekesho vitupu yaani. Yaani zile mbwembwe zake zote alizokuwa nazo na kutamba bungeni alishindwa kujitetea na kutoa maelezo ndani ya kamati ikimhoji.

Hata hili la sukari ni jambo la waziri wa fedha? Yaani wizara ya fedha au Mwigulu kama waziri anahusikaje na kununua na kuagiza sukari? Yaani majukumu ya kununua sukari au kufanya manunuzi ya sukari yanakuwaje ni ya waziri wa fedha?

Sisi tunajua aliyeko nyuma ya Luhanga Mpina ni nani na tunajua lengo lao ni nini kwa kuwa tuna taarifa za mipango ya Mpina na kundi la akina January Makamba kumshughulikia Bashe na Mwigulu na lengo lilikuwa ni vita vyao vya 2030. Tunajua Mpina ungetamani sana 2030 mfadhili wako kuwashughulikia akina Bashe na Mwigulu awe Rais lakini kwa bahati mbaya sana kavunjwa miguu kabla hata hajaanza kukimbia kuelekea 2030.

Sisi tunafuatilia sana mambo haya na kwa miaka mitatu mfululizo CAG hajawahi kumtaja wala kuigusa wizara ya fedha kwenye lolote kati ya tuhuma hizi unazozisema. Ina maana CAG haoni? Hana macho? Hajui kama kuna makorokoro hayo unayoyasema? Au wewe unajua kuliko CAG? Mbona huongelei madudu yaliyopo nishati? Mbona huongelei madudu yaliyopo TANROADS? Mbona huongelei madudu yaliyopo kwa Prof Mbarawa?

Luhanga Mpina una shida binafsi na Bashe na Mwigulu na unatumika kuliingiza taifa kwenye shida na taharuki kila mara kwa kuwa umekubali kuwa sehemu ya ujinga unaofanywa na akina January Makamba wanaodhani kuwa wanaweza kuanguka na kupotea na wengine hata kama hawana uhusika kwenye mipango yao ya uasi iliyofeli.

Luhanga Mpina huna uwezo wa kulipa mawakili zaidi ya 100 wanaokusimamia kwenye hizo kesi zako . Tunajua kundi hili la mawakili linalipwa na nani na lina lengo lilelile la kuivuruga hii nchi kama yale yanayotokea Kenya. Mamlaka za usalama tunawashauri kuwa makini sana na Wakili Nshala. Tunaturudia tena kuwaambia kuweni makini sana na wakili Nshala Rugemeleza.

Angalizo tu ni kuwa vita unavyopigani ni vigumu sana na huwezi kuvishinda hata ufanyeje kwa kuwa sisi tunajua kuwa target yenu ni kumchafua Rais Samia na kuwaandama Bashe na Mwigulu ni danganya toto tu lakini kwenye hili la sukari tunajua mmemlenga nani na tuna taarifa zenu kwa ukamilifu.
hawatafanikiwa asilani
 
MATENDO NA TABIA za Bwana Luhanga Mpina ni kama mbwa mzee ambaye amejichokea kuishi sasa anatafuta sababu za kufa ndiyo maana anajilaza barabarani kila mara ili magari yamkanyage afe lakini yanamkwepa ndiyo maana haachi kubwekabweka kila dakika.

Luhanga Mpina ni moja ya mawaziri wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye nchi hii na kama siyo utaratibu wa kuoneana haya ndani ya taifa hili basi Luhanga Mpina alitakiwa kuwa jela muda huu anatumikia kifungo kwa jinsi alivyosababisha matatizo makubwa na ukatili mkubwa sana kwa watu wa kanda ya ziwa hasa wavuvi ambao aliwaharibia maisha yao kabisa.

Luhanga Mpina ana shida binafsi sana na mawaziri Mwigulu Nchemba na Hussein Bashe. Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi na watu hawa wawili na zaidi ni kuwa anamshambulia Rais Samia kupitia watu hawa. Lengo lake ni kuishambulia serikali ya na Rais Samia mwenyewe lakini anafanya hayo kupitia mawaziri hawa wawili ambao kila siku yuko nao kuwakandika tuhuma za hovyo zisizo na kichwa wala miguu.

Luhanga Mpina hajaanza leo kumhusisha Mwigulu na madudu mengi tu anayoyasemaga bungeni na kukosa ushahidi. Luhanga Mpina alimhusisha Mwigulu na mambo ya 360 trilioni za makinikia wakati wa Magufuli huku akisahau kuwa aliyekuwa waziri wa fedha ni Dokta Mpango lakini alikuja kujibiwa na Prof Kabudi juu ya porojo zake za 360trilioni za makinikia.

Luhanga Mpina huyu huyu alikuja na porojo za deni la taifa zijui limefanyaje sijui hela zinaibwa hazionekani mara sijui nini. Hivi kweli kuna waziri anaweza kukopa hela na kuziingiza kwenye deni la taifa na Rais wan chi asijue? Au Mpina anamsema Rais Samia kiaina lakini anazunguka njia kwa kumsema Waziri Mwigulu?

Luhanga Mpina akaja na porojo zingine za mambo ya fedha za barabara na SGR nako akakwaa kisiki kwa kuwa waziri wa fedha hahusiki na mambo ya manunuzi na siyo kazi yake kushughulikia manunuzi kwenye miradi ya barabara na SGR. Mambo ya SGR si ni ya Prof Mbarawa au? Mambo ya barabara si ni mambo ya TANROADS na Bashungwa?

Luganga Mpina hakuishia hapo bado akaja na porojo za sukari zilizopelekea kufukuzwa kuhudhuria vikao vya bunge. Mpina alipewa nafasi kujitetea kwenye kamati ambako kilichototea huko ni vichekesho vitupu yaani. Yaani zile mbwembwe zake zote alizokuwa nazo na kutamba bungeni alishindwa kujitetea na kutoa maelezo ndani ya kamati ikimhoji.

Hata hili la sukari ni jambo la waziri wa fedha? Yaani wizara ya fedha au Mwigulu kama waziri anahusikaje na kununua na kuagiza sukari? Yaani majukumu ya kununua sukari au kufanya manunuzi ya sukari yanakuwaje ni ya waziri wa fedha?

Sisi tunajua aliyeko nyuma ya Luhanga Mpina ni nani na tunajua lengo lao ni nini kwa kuwa tuna taarifa za mipango ya Mpina na kundi la akina January Makamba kumshughulikia Bashe na Mwigulu na lengo lilikuwa ni vita vyao vya 2030. Tunajua Mpina ungetamani sana 2030 mfadhili wako kuwashughulikia akina Bashe na Mwigulu awe Rais lakini kwa bahati mbaya sana kavunjwa miguu kabla hata hajaanza kukimbia kuelekea 2030.

Sisi tunafuatilia sana mambo haya na kwa miaka mitatu mfululizo CAG hajawahi kumtaja wala kuigusa wizara ya fedha kwenye lolote kati ya tuhuma hizi unazozisema. Ina maana CAG haoni? Hana macho? Hajui kama kuna makorokoro hayo unayoyasema? Au wewe unajua kuliko CAG? Mbona huongelei madudu yaliyopo nishati? Mbona huongelei madudu yaliyopo TANROADS? Mbona huongelei madudu yaliyopo kwa Prof Mbarawa?

Luhanga Mpina una shida binafsi na Bashe na Mwigulu na unatumika kuliingiza taifa kwenye shida na taharuki kila mara kwa kuwa umekubali kuwa sehemu ya ujinga unaofanywa na akina January Makamba wanaodhani kuwa wanaweza kuanguka na kupotea na wengine hata kama hawana uhusika kwenye mipango yao ya uasi iliyofeli.

Luhanga Mpina huna uwezo wa kulipa mawakili zaidi ya 100 wanaokusimamia kwenye hizo kesi zako . Tunajua kundi hili la mawakili linalipwa na nani na lina lengo lilelile la kuivuruga hii nchi kama yale yanayotokea Kenya. Mamlaka za usalama tunawashauri kuwa makini sana na Wakili Nshala. Tunaturudia tena kuwaambia kuweni makini sana na wakili Nshala Rugemeleza.

Angalizo tu ni kuwa vita unavyopigani ni vigumu sana na huwezi kuvishinda hata ufanyeje kwa kuwa sisi tunajua kuwa target yenu ni kumchafua Rais Samia na kuwaandama Bashe na Mwigulu ni danganya toto tu lakini kwenye hili la sukari tunajua mmemlenga nani na tuna taarifa zenu kwa ukamilifu.
Wewe ni kama jinga zee linalotafuta sababu ya kufa
 
We kengele tulia spana zikuingie halafu mwambie basha wako bashe aliokutuma kuwa tunataka kichwa chake ki roll soon. Msituletee janja janja kutuongezea bei ya sukari kijanja kumbe mna finance makundi yenu kumbaf.

Watanzania tushashtuka na Mpina ni mmoja wa washtuaji wetu hatuna baya nae. Tutampa mikumi na mingi tena.
 
MATENDO NA TABIA za Bwana Luhanga Mpina ni kama mbwa mzee ambaye amejichokea kuishi sasa anatafuta sababu za kufa ndiyo maana anajilaza barabarani kila mara ili magari yamkanyage afe lakini yanamkwepa ndiyo maana haachi kubwekabweka kila dakika.

Luhanga Mpina ni moja ya mawaziri wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye nchi hii na kama siyo utaratibu wa kuoneana haya ndani ya taifa hili basi Luhanga Mpina alitakiwa kuwa jela muda huu anatumikia kifungo kwa jinsi alivyosababisha matatizo makubwa na ukatili mkubwa sana kwa watu wa kanda ya ziwa hasa wavuvi ambao aliwaharibia maisha yao kabisa.

Luhanga Mpina ana shida binafsi sana na mawaziri Mwigulu Nchemba na Hussein Bashe. Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi na watu hawa wawili na zaidi ni kuwa anamshambulia Rais Samia kupitia watu hawa. Lengo lake ni kuishambulia serikali ya na Rais Samia mwenyewe lakini anafanya hayo kupitia mawaziri hawa wawili ambao kila siku yuko nao kuwakandika tuhuma za hovyo zisizo na kichwa wala miguu.

Luhanga Mpina hajaanza leo kumhusisha Mwigulu na madudu mengi tu anayoyasemaga bungeni na kukosa ushahidi. Luhanga Mpina alimhusisha Mwigulu na mambo ya 360 trilioni za makinikia wakati wa Magufuli huku akisahau kuwa aliyekuwa waziri wa fedha ni Dokta Mpango lakini alikuja kujibiwa na Prof Kabudi juu ya porojo zake za 360trilioni za makinikia.

Luhanga Mpina huyu huyu alikuja na porojo za deni la taifa zijui limefanyaje sijui hela zinaibwa hazionekani mara sijui nini. Hivi kweli kuna waziri anaweza kukopa hela na kuziingiza kwenye deni la taifa na Rais wan chi asijue? Au Mpina anamsema Rais Samia kiaina lakini anazunguka njia kwa kumsema Waziri Mwigulu?

Luhanga Mpina akaja na porojo zingine za mambo ya fedha za barabara na SGR nako akakwaa kisiki kwa kuwa waziri wa fedha hahusiki na mambo ya manunuzi na siyo kazi yake kushughulikia manunuzi kwenye miradi ya barabara na SGR. Mambo ya SGR si ni ya Prof Mbarawa au? Mambo ya barabara si ni mambo ya TANROADS na Bashungwa?

Luganga Mpina hakuishia hapo bado akaja na porojo za sukari zilizopelekea kufukuzwa kuhudhuria vikao vya bunge. Mpina alipewa nafasi kujitetea kwenye kamati ambako kilichototea huko ni vichekesho vitupu yaani. Yaani zile mbwembwe zake zote alizokuwa nazo na kutamba bungeni alishindwa kujitetea na kutoa maelezo ndani ya kamati ikimhoji.

Hata hili la sukari ni jambo la waziri wa fedha? Yaani wizara ya fedha au Mwigulu kama waziri anahusikaje na kununua na kuagiza sukari? Yaani majukumu ya kununua sukari au kufanya manunuzi ya sukari yanakuwaje ni ya waziri wa fedha?

Sisi tunajua aliyeko nyuma ya Luhanga Mpina ni nani na tunajua lengo lao ni nini kwa kuwa tuna taarifa za mipango ya Mpina na kundi la akina January Makamba kumshughulikia Bashe na Mwigulu na lengo lilikuwa ni vita vyao vya 2030. Tunajua Mpina ungetamani sana 2030 mfadhili wako kuwashughulikia akina Bashe na Mwigulu awe Rais lakini kwa bahati mbaya sana kavunjwa miguu kabla hata hajaanza kukimbia kuelekea 2030.

Sisi tunafuatilia sana mambo haya na kwa miaka mitatu mfululizo CAG hajawahi kumtaja wala kuigusa wizara ya fedha kwenye lolote kati ya tuhuma hizi unazozisema. Ina maana CAG haoni? Hana macho? Hajui kama kuna makorokoro hayo unayoyasema? Au wewe unajua kuliko CAG? Mbona huongelei madudu yaliyopo nishati? Mbona huongelei madudu yaliyopo TANROADS? Mbona huongelei madudu yaliyopo kwa Prof Mbarawa?

Luhanga Mpina una shida binafsi na Bashe na Mwigulu na unatumika kuliingiza taifa kwenye shida na taharuki kila mara kwa kuwa umekubali kuwa sehemu ya ujinga unaofanywa na akina January Makamba wanaodhani kuwa wanaweza kuanguka na kupotea na wengine hata kama hawana uhusika kwenye mipango yao ya uasi iliyofeli.

Luhanga Mpina huna uwezo wa kulipa mawakili zaidi ya 100 wanaokusimamia kwenye hizo kesi zako . Tunajua kundi hili la mawakili linalipwa na nani na lina lengo lilelile la kuivuruga hii nchi kama yale yanayotokea Kenya. Mamlaka za usalama tunawashauri kuwa makini sana na Wakili Nshala. Tunaturudia tena kuwaambia kuweni makini sana na wakili Nshala Rugemeleza.

Angalizo tu ni kuwa vita unavyopigani ni vigumu sana na huwezi kuvishinda hata ufanyeje kwa kuwa sisi tunajua kuwa target yenu ni kumchafua Rais Samia na kuwaandama Bashe na Mwigulu ni danganya toto tu lakini kwenye hili la sukari tunajua mmemlenga nani na tuna taarifa zenu kwa ukamilifu.
watu wa kanda ya ziwa wanampenda sana mtoto wao Luhaga Mpina
chuki umeibeba wewe na hao mafisafi waliokutuma
rais wa mawe mwigulu na msomali bashe nendeni mkajibu kesi mahakamani
 
Kikubwa sukari wamepiga dili au hawajapiga dili,,,,mengine atajuana na Mungu wake hata akiwa mbwa kigoli ,kikubwa Kama sukari walipiga dili awanyooshe tu
 
Mpina analogwa na mganga wake aliyemsaidia kupata ubunge, kisha Mpina akamdhulumu fedha yake, kwa hiyo mganga anamchapa agombane na kila mtu, akikosa wa kugombana naye, akiona kivuli chake ataanza kukifokea
Ndiyo mawazo ya ccm waliowengi. Kazi yenu ni uchwi na sumu hamna kingine. Msomi PhD holder lkn ngozi ya albino mfukoni ama kwenye kidani shingoni au kidoleni. Wapuuzi wakubwa.
 
Mpina alitakiwa kuwa jela muda huu anatumikia kifungo kwa jinsi alivyosababisha matatizo makubwa na ukatili mkubwa sana kwa watu wa kanda ya ziwa hasa wavuvi ambao aliwaharibia maisha yao kabisa.


Kwa maelezo Yako hapa juu kweli wewe ni mjinga kuwahi kutokea kwenye sayari hii.

Shida yenu Wala rushwa na mafisadi mtu akisimamia Sheria mlizotunga wenyewe na kuzipitisha wenyewe mnamuona Tena hafai!!

Sisi ndo watu wa Kanda ya Ziwa nikupe machache tu yaliyokuwa yanafanyika kipindi Cha kikwete

Samaki kuuliwa Kwa Sumu,baruti na mitego isiyostahili maarufu Kwa jina la makokolo.


Imagine watu wanavua Kwa Sumu Hivi lile ziwe lingekiwa na samaki Hadi Leo? Imagine mtu anatumia baruti kuvua?

Kwanza Sumu hata ninyi walaji zingewaathiri pakubwa mno !!


Kabla hata ya mpina ilibidi tukae sisi wenyewe tuanze kushughulikiana ukigundulika umetumia Sumu ama baruti nikupigwa Hadi kufa kama mwizi. Nenda mganza chato kadete ukauliza halafu uje unijibu hapa kaulize

Sumu inauma hata samaki aliyezaliwa Leo na viumbe wengine ambao ni chakula Cha samaki

Barukti Hali kadharika!

Wewe ni FALA sana
 
MATENDO NA TABIA za Bwana Luhanga Mpina ni kama mbwa mzee ambaye amejichokea kuishi sasa anatafuta sababu za kufa ndiyo maana anajilaza barabarani kila mara ili magari yamkanyage afe lakini yanamkwepa ndiyo maana haachi kubwekabweka kila dakika.

Luhanga Mpina ni moja ya mawaziri wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye nchi hii na kama siyo utaratibu wa kuoneana haya ndani ya taifa hili basi Luhanga Mpina alitakiwa kuwa jela muda huu anatumikia kifungo kwa jinsi alivyosababisha matatizo makubwa na ukatili mkubwa sana kwa watu wa kanda ya ziwa hasa wavuvi ambao aliwaharibia maisha yao kabisa.

Luhanga Mpina ana shida binafsi sana na mawaziri Mwigulu Nchemba na Hussein Bashe. Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi na watu hawa wawili na zaidi ni kuwa anamshambulia Rais Samia kupitia watu hawa. Lengo lake ni kuishambulia serikali ya na Rais Samia mwenyewe lakini anafanya hayo kupitia mawaziri hawa wawili ambao kila siku yuko nao kuwakandika tuhuma za hovyo zisizo na kichwa wala miguu.

Luhanga Mpina hajaanza leo kumhusisha Mwigulu na madudu mengi tu anayoyasemaga bungeni na kukosa ushahidi. Luhanga Mpina alimhusisha Mwigulu na mambo ya 360 trilioni za makinikia wakati wa Magufuli huku akisahau kuwa aliyekuwa waziri wa fedha ni Dokta Mpango lakini alikuja kujibiwa na Prof Kabudi juu ya porojo zake za 360trilioni za makinikia.

Luhanga Mpina huyu huyu alikuja na porojo za deni la taifa zijui limefanyaje sijui hela zinaibwa hazionekani mara sijui nini. Hivi kweli kuna waziri anaweza kukopa hela na kuziingiza kwenye deni la taifa na Rais wan chi asijue? Au Mpina anamsema Rais Samia kiaina lakini anazunguka njia kwa kumsema Waziri Mwigulu?

Luhanga Mpina akaja na porojo zingine za mambo ya fedha za barabara na SGR nako akakwaa kisiki kwa kuwa waziri wa fedha hahusiki na mambo ya manunuzi na siyo kazi yake kushughulikia manunuzi kwenye miradi ya barabara na SGR. Mambo ya SGR si ni ya Prof Mbarawa au? Mambo ya barabara si ni mambo ya TANROADS na Bashungwa?

Luganga Mpina hakuishia hapo bado akaja na porojo za sukari zilizopelekea kufukuzwa kuhudhuria vikao vya bunge. Mpina alipewa nafasi kujitetea kwenye kamati ambako kilichototea huko ni vichekesho vitupu yaani. Yaani zile mbwembwe zake zote alizokuwa nazo na kutamba bungeni alishindwa kujitetea na kutoa maelezo ndani ya kamati ikimhoji.

Hata hili la sukari ni jambo la waziri wa fedha? Yaani wizara ya fedha au Mwigulu kama waziri anahusikaje na kununua na kuagiza sukari? Yaani majukumu ya kununua sukari au kufanya manunuzi ya sukari yanakuwaje ni ya waziri wa fedha?

Sisi tunajua aliyeko nyuma ya Luhanga Mpina ni nani na tunajua lengo lao ni nini kwa kuwa tuna taarifa za mipango ya Mpina na kundi la akina January Makamba kumshughulikia Bashe na Mwigulu na lengo lilikuwa ni vita vyao vya 2030. Tunajua Mpina ungetamani sana 2030 mfadhili wako kuwashughulikia akina Bashe na Mwigulu awe Rais lakini kwa bahati mbaya sana kavunjwa miguu kabla hata hajaanza kukimbia kuelekea 2030.

Sisi tunafuatilia sana mambo haya na kwa miaka mitatu mfululizo CAG hajawahi kumtaja wala kuigusa wizara ya fedha kwenye lolote kati ya tuhuma hizi unazozisema. Ina maana CAG haoni? Hana macho? Hajui kama kuna makorokoro hayo unayoyasema? Au wewe unajua kuliko CAG? Mbona huongelei madudu yaliyopo nishati? Mbona huongelei madudu yaliyopo TANROADS? Mbona huongelei madudu yaliyopo kwa Prof Mbarawa?

Luhanga Mpina una shida binafsi na Bashe na Mwigulu na unatumika kuliingiza taifa kwenye shida na taharuki kila mara kwa kuwa umekubali kuwa sehemu ya ujinga unaofanywa na akina January Makamba wanaodhani kuwa wanaweza kuanguka na kupotea na wengine hata kama hawana uhusika kwenye mipango yao ya uasi iliyofeli.

Luhanga Mpina huna uwezo wa kulipa mawakili zaidi ya 100 wanaokusimamia kwenye hizo kesi zako . Tunajua kundi hili la mawakili linalipwa na nani na lina lengo lilelile la kuivuruga hii nchi kama yale yanayotokea Kenya. Mamlaka za usalama tunawashauri kuwa makini sana na Wakili Nshala. Tunaturudia tena kuwaambia kuweni makini sana na wakili Nshala Rugemeleza.

Angalizo tu ni kuwa vita unavyopigani ni vigumu sana na huwezi kuvishinda hata ufanyeje kwa kuwa sisi tunajua kuwa target yenu ni kumchafua Rais Samia na kuwaandama Bashe na Mwigulu ni danganya toto tu lakini kwenye hili la sukari tunajua mmemlenga nani na tuna taarifa zenu kwa ukamilifu.
Nae alinyimwa kibali cha kuagiza sukari?
 
MATENDO NA TABIA za Bwana Luhanga Mpina ni kama mbwa mzee ambaye amejichokea kuishi sasa anatafuta sababu za kufa ndiyo maana anajilaza barabarani kila mara ili magari yamkanyage afe lakini yanamkwepa ndiyo maana haachi kubwekabweka kila dakika.

Luhanga Mpina ni moja ya mawaziri wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye nchi hii na kama siyo utaratibu wa kuoneana haya ndani ya taifa hili basi Luhanga Mpina alitakiwa kuwa jela muda huu anatumikia kifungo kwa jinsi alivyosababisha matatizo makubwa na ukatili mkubwa sana kwa watu wa kanda ya ziwa hasa wavuvi ambao aliwaharibia maisha yao kabisa.

Luhanga Mpina ana shida binafsi sana na mawaziri Mwigulu Nchemba na Hussein Bashe. Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi na watu hawa wawili na zaidi ni kuwa anamshambulia Rais Samia kupitia watu hawa. Lengo lake ni kuishambulia serikali ya na Rais Samia mwenyewe lakini anafanya hayo kupitia mawaziri hawa wawili ambao kila siku yuko nao kuwakandika tuhuma za hovyo zisizo na kichwa wala miguu.

Luhanga Mpina hajaanza leo kumhusisha Mwigulu na madudu mengi tu anayoyasemaga bungeni na kukosa ushahidi. Luhanga Mpina alimhusisha Mwigulu na mambo ya 360 trilioni za makinikia wakati wa Magufuli huku akisahau kuwa aliyekuwa waziri wa fedha ni Dokta Mpango lakini alikuja kujibiwa na Prof Kabudi juu ya porojo zake za 360trilioni za makinikia.

Luhanga Mpina huyu huyu alikuja na porojo za deni la taifa zijui limefanyaje sijui hela zinaibwa hazionekani mara sijui nini. Hivi kweli kuna waziri anaweza kukopa hela na kuziingiza kwenye deni la taifa na Rais wan chi asijue? Au Mpina anamsema Rais Samia kiaina lakini anazunguka njia kwa kumsema Waziri Mwigulu?

Luhanga Mpina akaja na porojo zingine za mambo ya fedha za barabara na SGR nako akakwaa kisiki kwa kuwa waziri wa fedha hahusiki na mambo ya manunuzi na siyo kazi yake kushughulikia manunuzi kwenye miradi ya barabara na SGR. Mambo ya SGR si ni ya Prof Mbarawa au? Mambo ya barabara si ni mambo ya TANROADS na Bashungwa?

Luganga Mpina hakuishia hapo bado akaja na porojo za sukari zilizopelekea kufukuzwa kuhudhuria vikao vya bunge. Mpina alipewa nafasi kujitetea kwenye kamati ambako kilichototea huko ni vichekesho vitupu yaani. Yaani zile mbwembwe zake zote alizokuwa nazo na kutamba bungeni alishindwa kujitetea na kutoa maelezo ndani ya kamati ikimhoji.

Hata hili la sukari ni jambo la waziri wa fedha? Yaani wizara ya fedha au Mwigulu kama waziri anahusikaje na kununua na kuagiza sukari? Yaani majukumu ya kununua sukari au kufanya manunuzi ya sukari yanakuwaje ni ya waziri wa fedha?

Sisi tunajua aliyeko nyuma ya Luhanga Mpina ni nani na tunajua lengo lao ni nini kwa kuwa tuna taarifa za mipango ya Mpina na kundi la akina January Makamba kumshughulikia Bashe na Mwigulu na lengo lilikuwa ni vita vyao vya 2030. Tunajua Mpina ungetamani sana 2030 mfadhili wako kuwashughulikia akina Bashe na Mwigulu awe Rais lakini kwa bahati mbaya sana kavunjwa miguu kabla hata hajaanza kukimbia kuelekea 2030.

Sisi tunafuatilia sana mambo haya na kwa miaka mitatu mfululizo CAG hajawahi kumtaja wala kuigusa wizara ya fedha kwenye lolote kati ya tuhuma hizi unazozisema. Ina maana CAG haoni? Hana macho? Hajui kama kuna makorokoro hayo unayoyasema? Au wewe unajua kuliko CAG? Mbona huongelei madudu yaliyopo nishati? Mbona huongelei madudu yaliyopo TANROADS? Mbona huongelei madudu yaliyopo kwa Prof Mbarawa?

Luhanga Mpina una shida binafsi na Bashe na Mwigulu na unatumika kuliingiza taifa kwenye shida na taharuki kila mara kwa kuwa umekubali kuwa sehemu ya ujinga unaofanywa na akina January Makamba wanaodhani kuwa wanaweza kuanguka na kupotea na wengine hata kama hawana uhusika kwenye mipango yao ya uasi iliyofeli.

Luhanga Mpina huna uwezo wa kulipa mawakili zaidi ya 100 wanaokusimamia kwenye hizo kesi zako . Tunajua kundi hili la mawakili linalipwa na nani na lina lengo lilelile la kuivuruga hii nchi kama yale yanayotokea Kenya. Mamlaka za usalama tunawashauri kuwa makini sana na Wakili Nshala. Tunaturudia tena kuwaambia kuweni makini sana na wakili Nshala Rugemeleza.

Angalizo tu ni kuwa vita unavyopigani ni vigumu sana na huwezi kuvishinda hata ufanyeje kwa kuwa sisi tunajua kuwa target yenu ni kumchafua Rais Samia na kuwaandama Bashe na Mwigulu ni danganya toto tu lakini kwenye hili la sukari tunajua mmemlenga nani na tuna taarifa zenu kwa ukamilifu.
Sasa Nani anayepigania maslahi ya Taifa
 
CCM mnajua sana kutukana watu, Mpina hata kama angekua na dhambi nyingi kiasi gani, bado anachoeleza kina make sense, hatuna sababu ya kumtusi
kwamba uongo na uzushi una make sense sio?🐒

au kupima size ya ukubwa wa samaki waliorostiwa vizuri sana na nazi kwa rula ndio ina make sense?🐒

au hasira za kutemwa baraza la mawaziri kumeamsha kiburi, jeuri na ari ya kupambana na waandamizi serikalini anaodhani ndio waliochochea yeye kutimuliwa kazi, right?🐒
 
kwamba uongo na uzushi una make sense sio?🐒

au kupima size ya ukubwa wa samaki waliorostiwa vizuri sana na nazi kwa rula ndio ina make sense?🐒

au hasira za kutemwa baraza la mawaziri kumeamsha kiburi, jeuri na ari ya kupambana na waandamizi serikalini anaodhani ndio waliochochea yeye kutimuliwa kazi, right?🐒
Hayo unasema wewe! Ila msitukanane, jifunzeni SIASA za staha.
 
Back
Top Bottom